Waziri Sangu Awataka MaDG Kuelekeza Mikakati Dira 20

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo kuhakikisha kuwa mipango mikakati wanayoandaa na kuitekeleza inaendana moja kwa moja na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.Amesema dhamira ya Serikali ni kuona taasisi zote zinachangia kikamilifu katika kujenga…

Read More

Jaribio la urekebishaji la muda mrefu la UNGA linahitaji matokeo yenye maana, sio utaratibu mwingine wa kurudia wa omnibus ya upungufu-maswala ya ulimwengu

Mkutano Mkuu wa UN katika kikao. Mikopo: Picha ya UN/Manuel Elias Maoni na Anwarul Chowdhury (New York) Ijumaa, Desemba 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Desemba 5 (IPS) – Tangu kuanzishwa kwake, Mkutano Mkuu wa UN (UNGA) umekuwa ukishiriki katika kuboresha njia zake za kufanya kazi, zikikumbuka, mapema kama 1949, “… urefu…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa Zambia nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini, Mhe. Mathews Jere kuhusu masuala ya mbalimbali ikiwemo umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa uwili baina ya Tanzania na Zambia. Katika mazungumzo yao, Mhe. Kombo ametumia fursa hiyo kutuma salamu za…

Read More

Win&Go Moto Kuja Na Bonasi Za Kila Siku Meridianbet

KATIKA ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani ni mkubwa lakini bado hakuna anayekaribia ubunifu na ukarimu wa Meridianbet. Safari hii wamekuvutia kwa staili mpya kabisa kupitia promosheni ya Non-Stop Win&Go Drop, ambayo imezua gumzo kila kona. Ndani ya ofa hii, unaweza kujishindia mizunguko ya bure mpaka 500 kila siku bila stress, bila presha, bila…

Read More

TMC Yaongoza Ujumbe Maalum wa Tanzania Marekani kuhusu Mageuzi ya Utawala wa Kidijitali Washington, D.C. / Dar es Salaam

TANZANIA imeanza hatua mpya katika safari yake ya mageuzi ya kidijitali baada ya ujumbe wa pamoja kati ya Serikali na Asasi za Kiraia kuanza ziara ya kitaalamu nchini Marekani kwa ajili ya kubadilishana uzoefu juu ya usimamizi na uongozi wa mifumo ya kidijitali. Ziara hiyo inaongozwa na Tech & Media Convergency (TMC) chini ya mpango…

Read More

Zikibaki siku 26, Mukoko, Yacouba, Inonga wapo Dar

HAKUNA anayejua nini kinachoendelea wakati dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Januari mwakani, lakini ni kwamba kama hujui nyota wa zamani wa Simba na Yanga Mukoko Tonombe, Yacouba Songne na Henock Inonga wapo Dar wakisikilizia dili jipya. Mukoko na Yacouba waliwahi kuitumikia Yanga wakati Inonga alikipiga Simba inayoelezwa ilimbeba juu kwa juu wakati akiwa njiani…

Read More