NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA 2024 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akisoma hotuba ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2024 (Best Presented Financial Statements for the Year 2024 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) zilizofanyika…

Read More

Ulanguzi tiketi wapamba moto kwa abiria

Dar es Salaam. Wingi wa abiria wanaosafiri kutoka Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli kuelekea mikoa mbalimbali nchini umeibua mianya ya ulanguzi wa tiketi, hali inayowalazimu baadhi ya wasafiri kulipa nauli za juu kupita viwango halali. Ongezeko hili la mapema la abiria linachochewa na tetesi za maandamano yanayodaiwa kupangwa kufanyika Desemba 9. Kwa kawaida, changamoto…

Read More

Upinzani wa dawa za kulevya na ufadhili wa kutishia maendeleo kuelekea kuondoa magonjwa ya muuaji – maswala ya ulimwengu

Ugonjwa unaosababishwa na mbu wa vimelea ni wa kuzuia na unaoweza kutibika lakini unabaki kuwa tishio kubwa la kiafya na la kufa-kudai mamia ya maelfu ya maisha-wengi kati ya watoto wadogo na wanawake wajawazito, haswa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. WHOSasisho la hivi karibuni la kila mwaka linaonyesha maendeleo ya kuvutia tangu 2000:…

Read More

‘Nchi zenye kipato cha chini na cha kati zinahitaji data bora, sio teknolojia bora tu’- maswala ya ulimwengu

Johanna Choumert-Nkolo, wa tatu kutoka kulia, akizungumza wakati wa majadiliano ya jopo katika Mkutano wa Maendeleo wa Global 2025 huko Clermont-Ferrand, Ufaransa. Mikopo: Athar Parvaiz/IPS na Athar Parvaiz (Clermont-Ferrand, Ufaransa) Alhamisi, Desemba 04, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Clermont-Ferrand, Ufaransa, Desemba 4 (IPS)- Wakati wa Mkutano wa Maendeleo wa Ulimwenguni 2025, wataalam wa maendeleo…

Read More

WANAFUNZI 937,581 WAPANGIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2026

:::::::::: Serikali imetangaza majina ya wanafunzi 937,581 watakaojiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2026, wakiwemo wasichana 508,477 na wavulana 429,104. Hii ni hatua inayoonesha mafanikio makubwa katika kuhakikisha kila mwanafunzi aliyefaulu darasa la saba anaendelea na elimu ya sekondari. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki…

Read More

Simba yajipigia Mbeya City, Bajaber atupia

SIMBA kama kawaida imeendeleza moto wake kwenye Ligi Kuu Bara, baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-0, lakini utamu wa ushindi huo ni kiungo Mohammed Bajaber. Ushindi huo wa nne kwenye mechi nne za Ligi Kuu Bara unaifanya Simba kufikisha pointi 12 ikipaa kutoka nafasi ya nane mpaka ya tano. Mapema tu Mbeya City iliilainisha…

Read More