DIWANI KATA YA KALANGALALA AKABIDHIWA OFISI

Viongozi wa kata ya Kalangalala katika halmashauri ya manispaa ya Geita leo Disemba 04, 2025 wamempokea diwani wa kata hiyo Reuben Sagayika katika hafla fupi iliyohudhuriwa na wenyeviti wa mitaa ya kata hiyo, wakuu wa idara za elimu, afya na maendeleo ya Jamii na baadhi ya walimu wa shule zilizopo katika kata hiyo. Hafla ya…

Read More

MTO UMBA KUFUNGUA MILANGO YA UTALII JIJINI TANGA .

  Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga na Wilaya ya Mkinga umezindua rasmi na kuendesha zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa kijiji cha Makota, kata ya Mwakijembe  wilayani Mkinga ili kupisha eneo tengefu la Mto Umba kujumuishwa ndani ya mpaka wa Hifadhi ya Taifa…

Read More

Waziri aonya ujenzi wa miradi chini ya kiwango

Unguja. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif amesema wizara hiyo haitomvumilia mkandarasi yeyote atakayefanya kazi za ujenzi chini ya kiwango kisichoheshimu mkataba wa makubaliano yao. Nadir ameyasema hayo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi wa vituo vya kupokea na kupozea nishati ya umeme vilivyopo kisiwani Unguja. Amesema,…

Read More

NEMC YASAINI MAKUBALIANO YA AWALI NA UPS KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI WA UFUATILIAJI WA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesaini makubaliano ya awali na Kampuni ya United Platform Solution (UPS) kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa kidigitali wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira katika miradi yote ya maendeleo nchini. Hafla hiyo ya kusaini makubaliano hayo imefanyika Disemba 04,2025 katika ukumbi wa mikutano wa Baraza…

Read More

Biashara zinaathiri asili ambayo hutegemea – Ripoti ya IPBES hupata – maswala ya ulimwengu

na Busani Bafana (Pretoria) Alhamisi, Desemba 04, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PRETORIA, Desemba 4 (IPS) – Asili ni upanga wenye kuwili kwa biashara ya ulimwengu. Ripoti kubwa itaonyesha jinsi biashara zinavyofaidika kutokana na kutumia rasilimali asili wakati huo huo zinaathiri bioanuwai. Tathmini ya kisayansi inayovutia, Ripoti ya Biashara na Bioanuwai, iliyowekwa kutolewa na…

Read More

Wanaotibiwa saratani nje ya nchi wapungua

Musoma. Idadi ya wagonjwa wa saratani wanaopelekwa nje ya nchi kwa ajili ya tiba hasa bobezi imepungua kutoka wagonjwa 168 kwa mwaka katika kipindi cha miaka minne iliyopita hadi  wanne kwa mwaka kwa kipindi cha mwaka jana. Takwimu hizo zimetolewa mjini Musoma leo Alhamisi Desemba 4, 2025 na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga katika Taasisi…

Read More

VIJANA WATAKIWA KULINDA AMANI KUPITIA MSOMERA HISTORICAL MARATHON

  *Na MASHAKA MHANDO, Tanga WAKIMBIAJI wapatao 200, wengi wao wakiwa ni vijana, wanatarajiwa *kufukuza upepo* katika uzinduzi wa msimu wa kwanza wa ‘Msomera Historical Marathon’ utakaofanyika Desemba 13 mwaka huu katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Mbio hizo zimeanzishwa na Kampuni ya Mawasiliano na Uendelezaji Utamaduni nchini (yenye makao makuu Butiama,…

Read More

Dk Migiro asisitiza mazungumzo kuleta Taifa pamoja

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Asha-Rose Migiro amesema huu ni wakati wa mazungumzo, kila mmoja anatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mazungumzo. Dk Migiro amesema mazungumzo ndiyo yatakayosaidia kuwepo amani, lakini mambo hayo yanawezekana kupitia wanawake kama wataamua. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 wakati akifungua Jukwaa la Wanawake 2025…

Read More