SGA yatwaa tuzo Chaguo la Mtumiaji Afrika 2025

Dar es Salaam. Kampuni ya Ulinzi ya SGA Security kwa mara nyingine imetajwa kuwa mtoa huduma za usalama anayeaminika zaidi Afrika na kutwaa tuzo ya chaguo la mtumiaji kwa mwaka 2025. Tuzo hiyo ilitangazwa kwenye Tamasha la Tuzo ya Chaguo la Mtumiaji Afrika kwa mwaka 2025 jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali…

Read More

Pinda ataka tafiti za sayansi katika sekta ya kilimo

Arusha. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amezitaka  taasisi za kitafiti kuendelea kuimarisha nafasi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu katika sekta ya kilimo ili kufanikisha malengo ya Taifa ya kuongeza Pato la Taifa kupitia sekta hiyo. Pinda  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Kumshauri Rais katika masuala ya chakula na kilimo,  ametoa kauli hiyo leo…

Read More

Marekani kutathimini uhusiano wake na Tanzania

Dar es Salaam. Serikali ya Marekani imesema inatathimini kwa kina uhusiano wake na Tanzania, kwa kile inachodai kutoridhishwa na matukio ya ukandamizwaji wa uhuru wa dini na uhuru wa kujieleza nchini unaofanywa na Serikali. Mbali na hilo, Marekani imedai kwamba kumekuwapo na vikwazo vya mara kwa mara dhidi ya uwekezaji wa nchi hiyo na ukatili…

Read More

Maxime aibukia Mbeya City, kuanza kazi baada ya Simba

KOCHA Mecky Maxime ndiye mrithi rasmi wa Mbeya City ya Mbeya akichukua mikoba ya Malale Hamsini aliyeondolewa mwanzoni mwa wiki hii. Maxime ambaye amewahi kuzinoa Kagera Sugar na Dodoma Jiji, ataanza rasmi kibarua cha kuinoa Mbeya City baada ya mechi ya leo Desemba 4, 2025 dhidi ya Simba. Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata kutoka…

Read More

Sh5 bilioni zatumika kufidia uharibifu wa mali

Dar es Salaam. Zaidi ya Sh5 bilioni zumelipwa kama fidia ya uharibifu wa mali kwa wateja zaidi ya 1,000 wa Kampuni ya Bima ya CRDB Insurance Company (CIC). Hayo yalibainishwa katika mkutano uliowakutanisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela na menejimenti pamoja na wafanyakazi wa CIC jijini humo. Akizungumza katika mkutano huo leo,…

Read More

Pacome, Dube waizima Fountain Gate

MABAO mawili yaliyofungwa kila moja katika kipindi cha mechi ya Ligi Kuu Bara leo la Prince Dube na Pacome Zouzoua yalitosha kuipa Yanga ushindi wa nne wa Ligi Kuu Bara na kuendeleza ubabe mbele ya Fountain Gate. Ushindi huo umeifanya Yanga kufikisha pointi 13 na kuchupa kutoka nafasi ya tano hadi ya tatu katika msimamo…

Read More

Nafasi ya Made in Tanzania kwenye kujenga uchumi

Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi zaidi ya minne tangu Tanzania izindue nembo yake ya Made in Tanzania kwa ajili ya kutambulisha bidhaa zake katika masoko ya nje, imeshatoa nembo hiyo kwa bidhaa zaidi ya 30. Hayo yameelezwa leo Alhamisi, Desemba 4, 2025, na Ofisa Uendelezaji Biashara wa Tantrade, Deo Shayo, alipozungumza na Mwananchi katika…

Read More