Kocha Singida Black Stars achekelea pointi moja

BAADA ya kuambulia suluhu dhidi ya Azam FC ugenini, kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema kupata pointi moja mbele ya mshindani waliyenaye kwenye malengo sawa siyo haba. Gamondi alifunguka hayo huku akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo walikuwa na mchezo mzuri kipindi cha pili tofauti na kipindi cha kwanza na  walicheza chini ya…

Read More

DK. MIGIRO: TUNAO WAJIBU KWA TANZANIA ILIYO SALAMA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Asha Rose Migiro amesema Watanzania wote kwa pamoja, wanaowajibu wa kuhakikisha taifa linakuwa salama kwa kuimarisha misingi na mazingira mazuri ya kusonga mbele. Akizungumza leo Alhamis tarehe 4 Desemba 2025, jijini Dodoma wakati akifungua Kongamano la Jukwaa la Wanawake ambao wamekutana kujadiliana mustakabali chanya wa Tanzania, wakitumia…

Read More

Chipo aitaja suluhu ya JKT Tanzania

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema suluhu dhidi ya JKT Tanzania imechangiwa na nidhamu nzuri ya kiuchezaji kwa wachezaji pale ikiwa na mipira au inapoipoteza mbele ya maafande hao. Ni suluhu ya pili kwa Chipo tangu ameanza kuisimamia Mtibwa Sugar alianza dhidi ya KMC, akaambulia pointi tatu dhidi ya TRA United kwa timu…

Read More

Airtel Tanzania; Ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma kuchochea Ukuaji Endelevu wa Kidijitali

Na Mwandishi Wetu USHIRIKIANO wa kimkakati kati ya sekta binafsi na umma unatambuliwa zaidi kuwa ni chombo muhimu kwa kufanikisha faida za muda mrefu kitaifa. Kwa kutumia ufanisi na ubunifu wa sekta ya mawasiliano sambamba na usimamizi bora wa serikali katika majukumu ya kimaendeleo, ushirikiano kama huu unaharakisha uwekezaji katika miundombinu, kuboresha utoaji wa huduma…

Read More

Carter; Sokwe mkongwe mwenye hekima msituni

Mahale. Carter ni mmoja wa sokwe wakongwe wanaopatikana ndani ya Hifadhi ya Taifa Milima Mahale magharibi mwa Mkoa wa Kigoma, akiwa na umri wa miaka 40. Sokwe huyo ni mtoto wa sokwe jike maarufu kwa jina la Calliope, aliyefariki mwaka 2009 akiwa na miaka 51.  Carter alikuwa na ndugu zake wawili, wa  kiume mmoja; Cadmas,…

Read More