DRC, Rwanda kusaini mkataba wa amani mbele ya Trump

Viongozi wa mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda wako Washington, Marekani kwa ajili ya kusaini makubaliano ya amani yanayolenga kumaliza mgogoro wa muda mrefu katika eneo la Mashariki ya DRC, kwa mwaliko wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais wa DRC, Félix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame wamekuwa wakirushiana…

Read More

MCF NA VODACOM WATAMBULISHA MKOPO WA KIDIJITALI USIOHITAJI DHAMANA

::::::::::::::: Taasisi ya Medical Credit Fund (MCF) kwa ushirikiano na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametambulisha  huduma mpya ya mikopo ya kidijitali ijulikanayo kama Afya Mkopo, inayolenga kuwawezesha watoa huduma za afya kupata mitaji bila kuweka dhamana. Huduma hiyo inalenga vituo vya afya, famasia, kliniki, maabara pamoja na wauzaji wa vifaa tiba, ambapo kupitia…

Read More

MISUNGWI MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Geita limemchangua diwani wa kata ya Lutede iliyopo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ndugu Jumanne Misungwi kuwa mwenyekiti wa baraza hilo. Ni katika kikao cha kwanza cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo jumla ya madiwani 51 katika wilaya hiyo wameapishwa kuitumikia Halmashauri…

Read More

MANUNGA ACHAGULIWA TENA KUONGOZA HALMASHAURI YA CHATO

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Chato, Christian Manunga Kushoto ni Mwenyekiti na msimamizi wa Uchaguzi wa Mwenyekiti halmashauri, Das Thomas Dimme. Kushoto ni Hakimu wa wilaya na kulia ni diwani wa kata ya Bwera, Josephat Manyenye, akipata kiapo  …………………. CHATO  SIKU Chache baada ya kutokea sintofahamu katika viapo na Uchaguzi wa mwenyekiti na makamu…

Read More

Mahakama yaitaka Jamhuri kukamilisha upelelezi kesi ya Mange Kimambi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeitaka Jamhuri kukamilisha upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi iliyomfungulia mwanaharakati maarufu kwenye mitandao ya kijamii ya X na Instagram anayeishi Marekani, Mange Kimambi. Maelekezo hayo yametolewa leo Alhamisi Desemba 4, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube anayesikiliza kesi hiyo ilipotajwa mbele yake kuangalia mwenendo wa…

Read More

Ujue uti wa mgongo wa uchumi usioonekana

Sekta isiyo rasmi nchini Tanzania ni zaidi ya mkusanyiko wa shughuli za kiuchumi zisizosajiliwa; ni uti wa mgongo wa kweli wa uchumi wa Taifa, ikitoa uhai kwa mamilioni ya Watanzania. Inajumuisha wachuuzi wadogo (wamachinga), waendesha pikipiki (bodaboda), mama lishe, wachimbaji wadogo wa madini, na wakulima wa mazao ya bustani. Shughuli hizi zote, licha ya kufanya…

Read More

Lens safi kwa suluhisho za hali ya hewa zenye usawa zinahitajika – maswala ya ulimwengu

Mtazamo wa Drone kutoka Kisiwa cha Combi, na mji wa Belém, ambapo COP30 ilifanyika, nyuma. Mikopo: Alex Ferro/Cop30 na Umar Manzoor Shah (Srinagar) Alhamisi, Desemba 04, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Michael Northrop, mkurugenzi wa programu katika Mfuko wa Rockefeller Brothers, anasema kituo cha Msitu wa Kitropiki, kilichotangazwa huko COP30, ni hali ya hali…

Read More