Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo
Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo – Global Publishers Home Habari Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo
Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo – Global Publishers Home Habari Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo
Polisi Morogoro Wafuatilia Kutoweka kwa Mtawa Silianus Korongo – Video – Global Publishers Home Habari Polisi Morogoro Wafuatilia Kutoweka kwa Mtawa Silianus Korongo – Video
Zao la korosho nchini limeingia katika msimu wa 2025/2026 ikiwa na sura mpya ya kanuni na masharti yaliyowekwa na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), hatua ambayo imezua hisia tofauti miongoni mwa wabanguaji wa ndani. Wakati serikali ikisisitiza kuwa maboresho haya yanakusudia kuongeza uwazi, ufuatiliaji na thamani ya zao hilo, wabanguaji wanadai kuwa masharti mapya yameweka…
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Awakilisha Tanzania Katika Maandalizi ya Mkutano wa Mabunge Duniani – Global Publishers Home Habari Mkuu wa Mkoa wa Arusha Awakilisha Tanzania Katika Maandalizi ya Mkutano wa Mabunge Duniani
Kesi ya Mange Kimambi Yaaahirishwa Hadi Januari 2026 – Sababu Ni Upelelezi Haujakamilika – Global Publishers Home Habari Kesi ya Mange Kimambi Yaaahirishwa Hadi Januari 2026 – Sababu Ni Upelelezi Haujakamilika
Shetta Achaguliwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam – Global Publishers Home Habari Shetta Achaguliwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Alhamisi kwa mechi mbili vinazohusisha vigogo Simba na Yanga zinazokabiliana na Fountain Gate na Mbeya City zikitoka katika majukumu ya mechi za kimataifa za Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini. Yanga yenyewe itaanza kazi saa 10 jioni kuikaribisha Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kabla…
KOCHA Dimitar Pantev aliyekuwa akitambulishwa kama meneja mkuu wa Simba amehitimisha siku 61 na huwezi kuamini siku hizo kuna mastaa wanne pekee waliotumika zaidi katika kikosi hicho chenye wachezaji 27, huku akizungumza na Mwanaspoti. Pantev aliyetambulishwa Oktoba 3 kama meneja mwenye taaluma ya ukocha, ameiongoza Simba katika mechi tano za mashindano ikiwamo moja ya Ligi…
MKURUGENZI wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Ayub Rioba Chacha, amesema mechi 32 za kuwania Fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON) zitarushwa mubashara bure kwenye chaneli ya TBC1 na TBC Taifa kwa ubora na ubunifu. Fainali hizo zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, timu ya taifa ya Tanzania itashiriki ikiwa…
Mkoa wa Rukwa umejidhihirisha kwa kasi kama kitovu kipya cha kimataifa cha biashara ya madini, hatua inayojengwa na utajiri mkubwa wa rasilimali, miundombinu bora, usalama ulioboreshwa na mifumo rafiki ya Serikali katika usimamizi wa sekta hiyo. Hali hii imeufanya Mkoa huo kuwa miongoni mwa maeneo yanayoongoza kwa kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi….