FCC YATOA ELIMU KWA MAWAKALA WA FORODHA
📍 Dar es Salaam Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushindani Duniani Tume ya Ushindani (FCC) imekukutana na wadau wote wanaohusika na utoaji wa mizigo bandarini kupitia chama chao cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) ili kuwapa elimu na kuwafahamisha kuwa FCC imeingia katika mfumo rasmi wa ukaguzi bidhaa wa pamoja yaani Tanzania Other…