Madiwani wapewa nondo kuboresha utendaji

Mufindi. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, wametakiwa kusikiliza zaidi wananchi ni kitu gani wanahitaji kwenye maeneo yao, kuliko kuwaamulia bila kuwashirikisha. Hayo yameelezwa leo Jumatano Desemba 3, 2025 na mwenyekiti wa muda wa uchaguzi, ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Mufindi, Reuben Chongolo, wakati madiwani wakila kiapo na kutoa…

Read More

MSAMA APONGEZA HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA MBELE YA WAZEE WA DAR ES SALAAM,ASEMA ILIJAA HEKIMA NA BUSARA.

Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, kwa hotuba yake iliyojaa hekima na weledi aliyoitoa mbele ya wazee wa Dar es Salaam. Msama ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam,na kubainisha kuwa hotuba aliyoitoa Rais Dkt.Samia imeonesha uwazi, ufasaha…

Read More

Uvunjaji wa asasi za kiraia za Palestina unafikia viwango vya kutisha, unaonya Ofisi ya Haki za Binadamu – Maswala ya Ulimwenguni

Vikosi vya usalama vya Israeli vilivamia ofisi za shirika hilo huko Ramallah na Hebroni mnamo 1 Desemba, na kuharibu mali na kuwazuia wafanyikazi. Kulingana na Ohchrwatu waliokuwepo katika majengo walikuwa wamefungiwa macho, wamefungwa mikono na kufanywa kupiga magoti au kulala sakafuni kwa masaa kadhaa. Wanaume wanane walikamatwa. Umoja huo (UAWC) una leseni chini ya sheria…

Read More

Polisi yataja mambo 12 kuelekea Desemba 9

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini limebainisha mambo 12 linayodai yanaendelea kupangwa mitandaoni kuelekea Desemba 9, 2025, huku likiwaonya wanaopanga na kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani siku hiyo kuachana navyo, la sivyo watashughulikiwa. Polisi wamebainisha hayo siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia taifa na kueleza jinsi Serikali ilivyojipanga wakati wote…

Read More