MVUA KUBWA ZAHARIBU MIUNDOMBINU, USAFIRI WA SGR NA BARABARA WAATHIRIKA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Imeeleza kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu muhimu, ikiwemo reli, barabara na mifumo ya umeme, hali iliyoathiri shughuli za usafiri wa abiria na shehena katika baadhi ya…

Read More

Hutaki mtoto wako awe mnafiki? fanya haya

Dodoma. Fikiria umeitwa shuleni anakosoma mwanao. Kuna tatizo linalowasumbua walimu. Unachoambiwa kumhusu mwanao hakiendani kabisa na kile unachokijua. “Mnamsingizia mwanangu. Hawezi kuwa hivi mnavyosema,” unabishana nao. Kinachokushangaza zaidi ni kwamba nyumbani mwanao ni mpole na mwadilifu.  Unajiuliza kimya kimya, “Huu uhalifu ninaoelezwa na walimu umetokea wapi?” Huna majibu, ila unajikuta ukituhumu, “Kwa nini wanamtengenezea mtoto…

Read More

TPDC YATEKELEZA MRADI MKUBWA WA UTAFITI WA MAFUTA NA GESI KITALU CHA EYASI–WEMBERE

  Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea kutekeleza mradi mkubwa wa kimkakati wa utafiti wa mafuta na gesi asilia katika kitalu cha Eyasi–Wembere, kinachojumuisha mikoa mitano ya Simiyu, Singida, Arusha, Shinyanga na Tabora, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuimarisha upatikanaji wa nishati ya uhakika na nafuu nchini. Mradi huo unatekelezwa katika…

Read More

JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025

Na Mwandishi Wetu  Morogoro 27 Disemba, 2025. Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum cha kufunga shughuli za Mwaka 2025, kikao kilicholenga kufanya tathmini ya utekelezaji wa mipango, kujadili mafanikio yaliyopatikana pamoja na changamoto zilizojitokeza katika kipindi cha mwaka mzima pamoja na kuweka mipango ya kipindi kijacho.Akizungumza leo 28 Disemba, 2025.katika kikao hicho,…

Read More

UKAGUZI WA MABASI YA ABIRIA WAFANYIKA KUDHIBITI AJALI

Na Pamela Mollel Arusha  Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria kwa ajili ya kudhibiti ajali kutokana na ongezeko kubwa la abiria kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Mkuu wa Operesheni Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Joseph Mwakabonga leo wakati akizungumza…

Read More

Kiwango cha Che Malone chamuibua kocha Simba

KIWANGO cha beki wa zamani wa Simba, Fondoh Che Malone katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, imemuibua kocha aliyewahi kumnoa akiwa Msimbazi, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, aliyesema bila kuuma maneno kwamba Wekundu hao walizingua kumuacha. Che Malone na Robertinho walifanya kazi pamoja msimu wa 2022-2023 ambapo iolishuhudia Simba ikapasuliwa mabao 5-1 na…

Read More

Mmoja afariki dunia, watatu wakipigwa na radi Tabora

Tabora. Kijana mmoja aitwaye Mwagala Malando (19),  mkazi wa kata ya Itambilo wilayani Kaliua mkoani Tabora, amefariki dunia na  wengine wawili wamejeruhiwa  kwa kupigwa na radi. Akizungumza leo Desemba 28,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa  wa Tabora, Richard Abwao amesema watu hao wamepigwa na radi wakati wamejikinga na mvua kwenye baraza mbele ya nyumba yao. “Walikua…

Read More

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup kwa kipindi cha miaka mitano, unaobadili rasmi jina la michuano na sasa kuitwa NMB Mpinduzi Cup. NMB Mapinduzi Cup 2026 inashirikisha timu 10, zikiwemo Yanga, Simba SC, Azam FC, Singida…

Read More

Diarra, Bacca wamkosha Pedro Goncalves

WAKATI timu za Taifa zikiendelea na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayopigwa kule Morocco, kocha mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves ameshindwa kuvumilia kwa kusema anafurahishwa na kiwango cha mastaa wa kikosi hicho wanaoshiriki michuano hiyo. Pedro amesema amekuwa akiifuatilia michuano hiyo inayoshiriki timu za nchi 24 ikiwamo Tanzania inayoshiriki mara ya…

Read More