Mvuvi ahukumiwa kifo kwa mauaji ya mama lishe

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dodoma, imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mvuvi, Gato Francis, aliyetiwa hatiani kwa mauaji ya mamalishe, Neema Julius, kwa kumkata kwa panga shingoni kisha kumwibia Sh250,000. Kwa mujibu wa Jamhuri katika kesi hiyo, mwili wa marehemu ulikuwa na jeraha shingoni la kukatwa na kitu chenye ncha kali, ukiwa umefungwa mikono, uso ukiwa…

Read More

Mfamasia matatani akidaiwa kuiba dawa za Sh9 bilioni

Dar es Salaam. Mfamasia wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, mkoani Songwe, Jackson Mahagi(39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu na kusomewa mashtaka matatu likiwemo la kuiba dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh9 bilioni mali ya Bohari ya Dawa (MSD). Mahagi, mkazi wa Veta Manga, mkoani Mbeya, amefikishwa mahakamani hapo leo,…

Read More

Kimbembe cha usafiri | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya Desemba kuwa na historia ya changamoto ya usafiri kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani, mwaka huu imekuwa zaidi ya kawaida, kwani idadi kubwa ya abiria imeshuhudiwa, huku baadhi wakikwama kusafiri. Kwa mujibu wa watoa huduma za usafiri wa mikoani, idadi ya abiria wanaosafiri sasa kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani…

Read More

‘Kuna watu wanaishi kwa wasiwasi’

Mwanza. Wakati madiwani wa Manispaa ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza wakimchagua Sara N’ghwani kuwa Meya na Kurthum Abdallah kuwa Naibu Meya, viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kuwa na amani wakisema mpaka sasa kuna watu wanaishi kwa wasiwasi. Wilaya ya Ilemela ni miongoni mwa maeneo yaliyokumbwa na maandamano yaliyozaa vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu…

Read More

Kauli ya Niffer baada ya siku 38 mahabusu

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa vipodozi, Jenifer Jovin, maarufu Niffer, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya uhaini, ameachiwa huru baada ya kusota mahabusu kwa siku 38 akieleza aliyoyaona gerezani, hajihusishi na siasa na hana chama. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuachiwa huru amesema: “Kwanza namshukuru Mungu kwa siku ya leo, ni siku…

Read More

Pedro aachiwa zigo la Conte

KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kushuka uwanjani leo kuvaana na Fountain Gate, lakini mapema mabosi wameamua kumuachia msala kocha Pedro Goncavales kuhusu kiungo mkabaji, Moussa Balla Conte wakimtaka asake mbadala wake kupitia dirisha dogo. Mabosi wa Yanga ni kama hawajaridhishwa na uwezo wa Conte waliyemsajili kwa mbwembwe kutoka CS Sfaxien ya Tunisia na sasa wamemtaka Pedro…

Read More