Dilunga atoboa siri JKT | Mwanaspoti

KIUNGO mkongwe wa Simba na Yanga, Hassan Dilunga ameweka siri inayomfanya kusalia ndani ya kikosi cha JKT Tanzania kwa muda mrefu, huku akimtaja kocha Hamad Ally. Mkongwe huyo huu ni msimu wa tatu ndani ya JKT, tangu alipoagana na Simba aliyoitumikia kwa miaka mitatu mfululizo baada ya kutoka Yanga. Dilunga alisema, licha ya kwamba anapokea…

Read More

Ibenge apiga hesabu kali Azam FC

AZAM FC kwa sasa vichwa viko chini wakiuguza maumivu ya kupoteza mechi mbili za kwanza za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini mashabiki wa klabu huenda wakatuliza presha kutokana na kauli iliyotolewa na kocha mkuu, Florent Ibenge akisema watulie kwa kuwa watafikia ubora wanaotakiwa kuwa nao. Azam inayoshiriki makundi ya CAF kwa mara ya…

Read More

Mtandao wa kufuatilia matokeo ya tafiti Afrika wazinduliwa Arusha

Arusha. Wataalamu wa utafiti barani Afrika wamezindua mtandao mpya wa bara zima unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kisayansi na kuhakikisha kuwa matokeo ya tafiti yanatoa manufaa halisi kwa jamii katika maeneo mbalimbali ya Afrika. Mtandao huo, unaojulikana kama ‘Continental-Wide Research Networks’, unakusudia kuziunganisha taasisi za elimu ya juu, vituo vya utafiti na watafiti kutoka nchi mbalimbali…

Read More

Madiwani wapewa zigo la kuboresha, kujenga mahakama

Serengeti. Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, Jacob Ndira amewaomba madiwani kusaidia kuboresha mahakama zilizopo na kutenga viwanja kwa ajili ya ujenzi wa mpya na nyumba za mahakimu ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Ametoa ombi hilo mjini Mugumu leo Jumatano Desemba 3, 2025 wakati wa uapisho wa madiwani wateule wa Halmashauri ya…

Read More

PROF. SILAYO AAGA AFWC25, ATOA WITO WA MAGEUZI MAKUBWA

Na Mwandishi Wetu, Banjul BANJUL, Gambia — Afrika imeanza sura mpya ya mageuzi katika sekta ya misitu na wanyamapori baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Misitu na Wanyamapori Afrika (AFWC25), Prof. Dos Santos Silayo, kukabidhi rasmi uenyekiti kwa Mr. Ebrima Jawara wa Serikali ya Gambia, hatua iliyoweka mwelekeo mpya wa bara katika kukabiliana na changamoto…

Read More

CMSA YATOA PONGEZI BENKI YA TCB KWA KUTEKELEZA MIKAKATI YAKE ,YAORODHESHA STAWI BOND SOKO LA HISA DAR ES SALAAM

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA.Nicodemus Mkama ameipongeza Bodi na Menejimenti ya Benki ya TCB kwa kutekeleza mikakati yenye lengo la kuboresha na kuimarisha utendaji wa benki hiyo.Amesema maamuzi waliyofanya ya kutoa kwa umma hatifungani ya Stawi yamekuwa chachu katika kuongeza mtaji wa benki hiyo na ni…

Read More