Azam v Singida vita ya mbinu Ligi Kuu Bara

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi leo ana mtihani mgumu mbele ya Florent Ibenge anayeinoa Azam, wakati timu hizo zitakapocheza mechi ya Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar kuanzia saa 3:00 usiku, inazikutanisha timu zilizotoka kucheza mechi za Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Azam ambayo imepoteza…

Read More

Kiwango cha Diarra chamshtua kiungo Simba

YANGA inafurahia sare ya ugenini iliyoipata kule Algeria Ijumaa iliyopita katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B, lakini matokeo hayo yameitibua hali ya hewa JS Kabylie, huku kiungo wa zamani wa Simba, Babacar Sarr akifichua tatizo lilianzia kwa Djigui Diarra. Kiungo huyo aliyejiunga na Simba dirisha dogo la usajili msimu wa 2023-2024 na…

Read More

Mastaa mtegoni, Gamondi akiita 53 Taifa Stars

Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, uteuzi ambao hapana shaka utawaweka katika presha kubwa nyota wa baadhi ya nafasi. Wachezaji hao 53, watapaswa kupunguzwa hadi kubakia 28 ambao wanahitajika…

Read More

Kwa nini Mkutano wa Mazingira wa UN ni muhimu kwa sayari salama, yenye nguvu zaidi – maswala ya ulimwengu

Mkutano wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEA) ndio shirika la juu zaidi la kufanya maamuzi ulimwenguni kwa maswala yanayohusiana na mazingira. Mikopo: UNEP | Kikao cha 7 cha UNEA kitafanyika kutoka Desemba 8-12 jijini Nairobi, Kenya. Maoni na Inger Andersen (Nairobi, Kenya) Jumatano, Desemba 03, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Inger Andersen ni…

Read More

‘Kuna watu wanaishi kwa wasiwasi Ilemela’

Mwanza. Wakati madiwani wa Manispaa ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza wakimchagua Sara N’ghwani kuwa Meya na Kurthum Abdallah kuwa Naibu Meya, viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kuwa na amani wakisema mpaka sasa kuna watu wanaishi kwa wasiwasi. Wilaya ya Ilemela ni miongoni mwa maeneo yaliyokumbwa na maandamano yaliyozaa vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu…

Read More

Africa’s Forests on the Brink, COFO Charts Way Forward

  Banjul, The Gambia – The Chair of the UN Committee on Forestry (COFO) for the 28th Session, Mr. Pierre Taty from the Republic of the Congo has warned, calling on governments to accelerate action on rural empowerment, transparent forest data, and cross-sector collaboration to halt accelerating deforestation. Delivering closing remarks yesterday December 01,2025 at…

Read More