Tanzania kuandaa tuzo za ujenzi Afrika

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuanza kuandaa Tuzo za Afrika zinazolenga kuzitambua kampuni zinazofanya vizuri katika sekta ya ujenzi na nyingine zinazohudumu katika mnyororo wa thamani. Tuzo hizo zitakazoanza kutolewa mwakani, ni mbadala wa tuzo za Afrika Mashariki za Sekta ya Ujenzi na Miundombinu (EABC) ambazo zilikuwa zikitolewa nchini kwa miaka mitano mfululizo. Walengwa katika…

Read More

Wananchi wafurika kampeni za Bobi Wine, awaahidi kumbwaga Museveni

Mgombea urais wa Chama cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amewataka wafuasi wake na wananchi katika Wilaya ya Luweero nchini Uganda kuwachagua viongozi wapya ili kuhakikisha wanaiondoa Serikali ya Chama cha National Resistance Movement inayoongozwa na Rais Yoweri Museveni. Kiongozi huyo ameapa kuiondoa Serikali iliyopo madarakani, ambayo anaituhumu kupuuza tatizo la…

Read More

DPP amfutia kesi ya uhaini Niffer na Chavala

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amefutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Desemba 3, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, baada wakili wa Serikali, Titus Aron kuileleza Mahakama hiyo kuwa DPP hana…

Read More