WADAU KANDA YA KASKAZINI WAPEWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA KEMIKALI

Meneja wa Ofisi ya Kanda ya Kaskazini, Eliamini Mkenga, akiongea wakatiakifungua mafunzo ya usimamizi salama wa kemikali kwa wasimamizi wakemikali kutoka kampuni ya Gasco na wadau wengine wa Arusha katikamafunzo yanayofanyika katika hoteli ya Corridor Spring, jijini Arusha, Desemba 2, 2025. Msimamizi wa Dawati la Huduma za Udhibiti, Ofisi ya Kanda ya Kaskazini, Joshua Mustafa…

Read More

HALMASHAURI MANISPAA YA KIBAHA YAKEMEA VIKALI VITENDO VYA UBAKAJI NA ULAWITI

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA  Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Mkoani Pwani imeweka mipango madhubuti na kujipanga vilivyo ambayo itaweza kusaidia kwa kiwangon kikubwa  katika kuhakikishwa kwamba  maambukizi mapya ya ugonjwa wa virusi vya ukimwi (VVU) hususan kwa upande wa  maambukizi ya  kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto  yanapungua kwa kiwango kikubwa. Hayo yamebainishwa na Mratibu…

Read More

Kilichomuondoa Pantev Simba hiki hapa

Uamuzi wa Simba kuachana ghafla na Meneja wake Dimitar Pantev ambaye alikuwa mkuu wa benchi la ufundi, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 unatajwa kuchangiwa na sababu tatu. Kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari, Simba imeanika kuwa imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa Pantev na timu hiyo itakuwa chini ya usimamizi wa Selemani Matola kwa…

Read More

Njia hatari – maswala ya ulimwengu

Jaribio la kwanza la nyuklia la USSR Joe 1 huko Semipalatinsk, Kazakhstan, 29 Agosti 1949. Mkopo: CTBTO Maoni na John Burroughs (San Francisco, USA) Jumanne, Desemba 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SAN FRANCISCO, USA, Desemba 2 (IPS) – Katika chapisho la ukweli la kijamii ambalo lilirudia ulimwenguni kote, mnamo Oktoba 29 Rais Donald…

Read More

Madaktari, wauguzi wamkingia kifua tabibu aliyesimamishwa Tabora

Dar es Salaam. Vyama vya kitaaluma, likiwemo Baraza la Madaktari Tanzania (MAT), vimesema utaratibu haukufuatwa wakati wa kusimamishwa kazi watumishi watatu mkoani Tabora, akiwemo tabibu anayetuhumiwa kumbaka mgonjwa Novemba 24 mwaka huu. Jana, Desemba Mosi, 2025, watumishi watatu wa kada ya afya, akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo, walisimamishwa kazi, huku wengine wawili wakiendelea…

Read More

ELIMU YETU LAZIMA IENDANE NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA.

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba ameeleza kuwa mabadiliko ya Elimu lazima yaendane na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia ujifunzaji na ufundishaji nchini.  Amesema hayo leo Desemba 2, 2025 Mkoani Morogoro wakati akifungua kikao kazi cha uhawilishaji (Digitalisation) wa maudhui ya masomo ya Sayansi na Hisabati (STEM) kidato cha pili kwenda…

Read More