VIJANA HAWANA UZALENDO KWA NCHI YAO- RAIS SAMIA

Na Janeth Raphael MichuziTv – Dar es salaam  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesisitiza umuhimu wa kudai haki kwa njia sahihi badala ya uharibifu, ghasia na uvunjifu wa amani walioufanya Oktoba 29, 2025, akionesha pia kusikitishwa na madai ya ugumu wa maisha unaoelezwa na baadhi yao. Rais Samia amebainisha hayo leo Jumanne Disemba…

Read More

Mama, bintiye wateketea kwa moto Tabata

Dar es Salaam. Mama na mtoto wake wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto, mtaa wa Nchimbi Tabata, wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Tukio hilo lililotokea saa 5 usiku wa jana Jumatatu, Desemba 1, 2025 limethibitishwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala, Peter…

Read More

RAIS SAMIA ATOA NENO KWA VIONGOZI WA DINI

  ……………. Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezilaumu baadhi ya taasisi za dini kwa kujiingiza kwenye mkumbo wa masuala ya kisiasa, huku akisisitiza kuwa Tanzania haina dini, bali watu wake wana dini na madhehebu mbalimbali. Amesema hakuna madhehebu yoyote yaliyopewa uwezo wa kutoa matamko yanayoharibu mengine…

Read More

Watuhumiwa sita waachiwa na DPP Kahama

Shinyanga. Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kahama leo Jumanne, Desemba 2, 2025 imewaachia huru na kuwafutia mashtaka yaliyokuwa yanawakabili watuhumiwa wengine sita kati ya tisa waliokuwa wameshikiliwa. Walioachiwa ni Mohammed Mzungu, Ally Paulo, Peter Mhoja, Isaac Gerald, Dickson Mkoko na Godfrey Andrea. Wote kwa pamoja walikuwa wanakabiliwa na mashtaka matatu ambayo ni unyang’anyi wa…

Read More

Siku 61 za Pantev zilivyohitimishwa Simba

KLABU ya Simba, leo Desemba 2, 2025 imetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev pamoja na wasaidizi wake wawili. Uamuzi huo wa Simba umekuja baada ya Pantev kudumu klabuni hapo kwa takribani siku 61 sawa na miezi miwili pekee, kutokana na kutambulishwa Ijumaa ya Oktoba 3, 2025, kisha mkataba wake kusitishwa…

Read More

Bonasi Kubwa Zipo Kwaajili Yako Sasa

JE, unajua kadri ambavyo unatumia Meridianbet zaidi kwenye kufanya ubashiri wa mechi zako ndipo unajiweka kwenye nafasi ya kuondoka na bonasi kubwa ya sport au kasino?. Bashiri mara nyingi sasa na Meridianbet uibuke bingwa. Ligi pendwa Duniani, EPL itaendelea ambapo AFC Bournemouth atakuwa kibaruani kumenyana dhidi ya Everton ambapo timu hizi tofauti ya pointi kati…

Read More

Rais Dkt. Samia Azungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika…

Read More