Zakaria amtibulia Kennedy Juma singida

UONGOZI wa Singida Black Stars una mpango wa kumtoa kwa mkopo nahodha wa timu hiyo, Kennedy Juma kwenda Mashujaa ambako umemng’oa Abdulmalik Zakaria. Zakaria anayecheza beki wa kati tayari ameshaanza kazi akiitumikia timu hiyo katika michuno ya Kombe la Mapinduzi 2026 akiwa sambamba na Abdallah Kheri ‘Sebo’ waliojiunga na timu hiyo dirisha dogo la usajili…

Read More

Wanasiasa watoa mwelekeo mpya 2026

Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakiukaribisha mwaka mpya wa 2026, baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wameeleza mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuimarisha amani, umoja, utulivu na maendeleo ya nchi. Viongozi hao wamesisitiza kuwa 2026 unapaswa kuwa mwaka wa mabadiliko chanya utakaojikita katika haki, maridhiano na uwajibikaji, pamoja na kuweka juhudi za makusudi za…

Read More

Chalamila aeleza mafanikio, changamoto mwaka 2025 Dar

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameainisha mafanikio na changamoto zilizojitokeza mwaka huu na hatua zilizochukuliwa katika kuzitatua. Miongoni mwa mafanikio hayo kuanza kwa ujenzi wa madaraja la Jangwani, Kigogo na Kikwajuni, wakati changamoto zikiwa ni mafuriko, ukame (uhaba wa maji) na foleni alizodai zilikuwa zinasimamisha uchumi wa mkoa…

Read More

RC Tabora apiga marufuku vibali vya ujenzi mabondeni

Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Tabora pamoja na Idara ya Mipango Miji kuhakikisha haitoi vibali vya ujenzi katika maeneo ya mabondeni. Amesisitiza hatua kali zichukuliwe dhidi ya ujenzi holela katika maeneo korofi, ikiwamo kubomoa majengo yasiyo na vibali pale itakapobidi. Chacha ametoa maagizo hayo leo Jumatano Desemba…

Read More