Hali ilivyo mitaani leo Siku ya Uhuru
Dar/mkoani. Watanzania mwaka huu wamesherehekea maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika wakiwa majumbani pamoja na familia zao, hali ambayo ni tofauti na desturi ya wengi kutumia siku hiyo kupumzika kwenye maeneo ya burudani au kushiriki matukio ya hadhara. Mabadiliko hayo yalichochewa na taarifa za kuwepo maandamano yasiyo na ukomo ikiwa ni mwendelezo wa…