Huyu hapa kumrithi Pantev Simba

Baada ya uongozi wa klabu ya Simba kufikia makubaliano ya kumfuta Meneja Dimitar Pantev, klabu hiyo inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, imeanza harakati za kusaka mrithi wa kubeba mikoba yake. Simba impoteza mechi mbili za mwanzo ilizocheza kwenye kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo, ilianza kufungwa nyumbani kwa bao 1-0 na Petro Luanda…

Read More

UZINDUZI WA KITABU CHA TAWASIFU YA BALOZI DANIEL OLE NJOOLAY WAWAVUTIA VONGOZI NA WANANCHI ARUSHA

UZINDUZI wa kitabu Tawasifu ya Mhe. Balozi Daniel Ole Njoolay umefanyika jijini Arusha kwa shamrashamra, ukihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwamo Mgeni Rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla, wabunge, viongozi wa chama na wadau wa tasnia ya uchapishaji. Katika hafla hiyo,…

Read More

Sima atetea umeya Mwanza, abebeshwa kero barabara kukosa taa

‎Mwanza. Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, limemthibitisha Diwani wa Kata ya Mhandu, Sima Constantine  kuwa Mstahiki Meya wa jiji hilo kwa kipindi cha pili kuanzia mwaka 2025-2030. ‎Sima ambaye alikuwa Meya kwa kipindi kilichopita 2020-2025, amepitishwa leo Jumanne Desemba 2, 2025 katika kikao cha kwanza cha baraza hilo ambalo madiwani wake…

Read More

BENKI YA STANBIC YATOA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 27.2 KATIKA HOSPITALI YA RUFAA BOMBO MKOANI TANGA

Katika kuendelea kuunga mkono sekta ya afya nchini, Benki ya Stanbic imetoa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 27.2 kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo, hatua inayolenga kuboresha utoaji wa huduma afya kwa wananchi. Vifaa vilivyokabidhiwa vinajumuisha infant radiant warmer moja, oxygen concentrator nne, mifuko ya biohazard mitatu pamoja na mashuka…

Read More

Wanaodaiwa kuiibia benki ya Equity waendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Washtakiwa 11 wanaokabiliwa na mashtaka 20 yakiwemo ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni kwa udanganyifu mali ya benki ya Equity Tanzania Limited, wataendelea kusalia rumande hadi Desemba 8, 2025 wakati kesi hiyo itakapotajwa. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi hiyo ya uhujumu uchumi kutokamilika, huku mashtaka…

Read More

Maulid ashinda umeya manispaa ya Kigoma

Kigoma. Diwani wa kata ya Mwanga Kusini, Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mussa Maulid amechaguliwa kuwa Meya wa Manispaa hiyo kwa kupata kura 24 za ndiyo kati ya kura 25 za madiwani waliohudhuria kikao cha baraza hilo. Uchaguzi huo umeenda sambamba na kuwaapisha madiwani wa halmashauri hiyo, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 mjini Kigoma katika ukumbi…

Read More