Rais Samia atoa msimamo, awagusa maaskofu Katoliki, EU

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msimamo wa Serikali anayoiongoza, akisema haitakubali kupangiwa cha kufanya, wala kupewa masharti na yeyote, badala yake ataongoza kwa misingi ya Katiba na sheria. Msimamo huo wa Rais Samia, unajibu matamko ya wadau mbalimbali likiwamo la Bunge la Ulaya (EU), lililoitaka Tanzania kumtoa mahabusu bila masharti Mwenyekiti wa…

Read More

Madiwani na Meya Ubungo wala kiapo, waahidi…

Dar es Salaam. Madiwani 19 wakiwemo wa viti maalumu wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam leo Jumanne, Desemba 2, 2025 wamekula kiapo kuwatumikia wananchi huku wakiahidi kuwatafutia fursa za kiuchumi vijana na kina mama. Sambamba na hilo, suala la maji, barabara, umeme usimamizi wa miradi mipya pia ni ahadi zilizotolewa na madiwani…

Read More

Kocha Fountain Gate kapiga mkwara huko!

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema mechi ya keshokutwa Alhamisi dhidi ya Yanga hawataingia kinyonge bali wataonyesha ushindani mkubwa mbele ya mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara. Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara imepangwa kuchezwa keshokutwa Alhamisi saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar na Fountain Gate imetoka kufungwa 2-0…

Read More

Waganga waliodaiwa kuua, kuchukua viungo waachiwa huru

Dodoma. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dodoma, imewaachia huru washtakiwa sita, wakiwamo waganga wa jadi, walioshtakiwa kwa mauaji na kuchukua sehemu ya viungo ili kutengeneza dawa ya utajiri. Miongoni mwa walioshtakiwa ni mshtakiwa wa sita, Oscar Labani, ambaye upande wa Jamhuri ulidai ndiye mteja wa dawa ya kumfanya awe tajiri, ambayo mchanganyiko wake ulihitaji viungo vya…

Read More