Watoto wenye uhitaji kimaisha waguswa

Dar es Salaam. Katika kuunga mkono jitihada za malezi na ustawi wa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, Benki ya Absa imekabidhi msaada wa mahitaji muhimu yatakayo wasaidia kujikimu kimaisha. Taasisi hiyo imeunga juhudi hizo kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na mashine nne za cherehani kwa kituo cha kulelea watoto yatima…

Read More

Pantev afichua jambo Simba, Magori atia neno

Kikosi cha Simba kimerejea mapema asubuhi ya leo kikitokea Bamako, Mali kilipoenda kucheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien na kupoteza kwa mabao 2-1. Kipigo hicho kilikuwa ni cha pili mfululizo Simba katika makundi ya michuano hiyo baada ya kile cha kwanza cha bao 1-0 nyumbani kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

MAMILIONI YA FEDHA YAGAWIWA MAKUNDI MAALUMU B’MULO.

Kulia ni Mkurugenzi wa halmashauri ya Biharamulo, Innocent Mukandala na Kushoto ni Mwenyekiti Apolinary Mugarula. Mkuu wa wilaya ya Biharamulo,Sacp Advera Bulimba Mbunge wa Jimbo la Biharamulo,Mhandisi Ezra Chiwelesa. ………… BIHARAMULO  ZAIDI ya Shilingi milioni 111,671,167.98 zimetolewa na halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera kwaajili ya vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu likiwa…

Read More

Azam FC, Singida Black Stars kuliamsha upya Ligi Kuu

BAADA ya kumaliza majukumu ya mechi za kimataifa, wawakilishi wanaoshiriki hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC na Singida Black Stars kesho watarudi katika Ligi Kuu kuanza kusaka pointi za kuwaweka pazuri. Azam ambayo imepoteza mechi mbili mfululizo za Kundi B mbele ya As Maniema ya DR Congo na Wydad Casablanca ya…

Read More

MUGARULA KUIPAISHA BIHARAMULO KIMAENDELEO*

Mwenyekiti mpya wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, Apolinary Mugarula.   Mwenyekiti mpya wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, Apolinary Mugarula. Madiwani wa halmashauri ya Biharamulo wakila kiapo. Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye ni Das Biharamulo, Kassim Kirondomara, akitoa ufafanuzi kwa madiwani Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya Biharamulo, Ameria Nyakake. ………….. BIHARAMULO  DIWANI wa Kata ya…

Read More

Utamu BDL wateka shoo kikapu taifa

WAKATI Ligi ya Kikapu Taifa (NBL), ikiendelea mjini Dodoma kuna ushindani wa mastaa hasa wale wanaocheza Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nyota hao waliosajiliwa na timu za mikoa mbalimbali kutokana na zile wanazozichezea kukosa nafasi ya kushiriki NBL, wamekuwa wakionyesha ushindani kama ilivyo BDL kwenye Uwanja wa Chinangali. Baadhi ya wachezaji…

Read More

Jinsi Mwanafunzi Mmoja Anavyobadilisha Huduma ya Afya nchini Malawi – Maswala ya Ulimwenguni

Ranken Chisambi, mwanafunzi wa uhandisi wa miaka 22 wa biomedical, tayari ameendeleza kuokoa maisha, uvumbuzi wa bei rahisi na rahisi kutumia. Mikopo: Benson Kunchezera/IPS na Benson Kunchezera (Chamhanya Gondwe, Malawi) Jumanne, Desemba 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Chamhanya Gondwe, Malawi, Desemba 2 (IPS) – Katika vilima tulivu vya Kijiji cha Chamhanya Gondwe katika…

Read More