Wazee Dar: Tumefadhaishwa na vurugu za Oktoba 29

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Salum Matimbwa amesema kundi hilo limefadhaishwa na matukio ya vurugu zilizotokea Oktoba 29, mwaka huu, huku wakiahidi kuendelea kuwashauri vijana watambue safari ya maendeleo yao inahitaji amani. Ametumia jukwaa hilo kurejea historia ya kuwepo kwa kodi ya kichwa nchini, iliyochukiwa na wengi…

Read More

Madeleka na Serikali bado ngoma mbichi

Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imeridhia kuendelea kwa shauri lililofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Serikali la kupinga kufutwa kwa sherehe za Muungano. Jaji wa Mahakama Kuu Juliana Masabo, leo Desemba 2,2025 ameagiza upande wa Serikali kupeleka kiapo kinzani mahakamani ifikapo Desemba…

Read More

Benki ya Absa yakabidhi msaada wa mahitaji muhimu yakiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lukono, wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro.

Na Mwandishi WetuMorogoro. Benki ya Absa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo kijiji cha Lugono wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya mchango wa benki hiyo na wafanyakazi wake katika kuunga mkono juhudi za malezi na kuboresha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira…

Read More

RC KUNENGE AAGIZA BODABODA KUPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI MKOA MZIMA

Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Disemba 2,2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza mafunzo ya kuwajengea weledi maofisa usafirishaji (bodaboda) kuhusu usalama barabarani na sheria za usafirishaji kutolewa katika mkoa mzima.  Aidha, amezitaka mamlaka husika, ikiwemo Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuhakikisha wahitimu wanapatiwa leseni mara  baada ya kukamilika kwa mafunzo…

Read More

Matarajio ya wadau ujio chuo cha teknolojia ya kidijitali

Arusha. Wadau wa elimu wamepongeza mpango wa Serikali wa kujenga Chuo cha Teknolojia ya Kidijitali, wakisema kitasaidia kuongeza wataalamu wa ndani, kukuza ajira, kuendeleza sekta mbalimbali pamoja na kuimarisha usalama wa nchi. Wadau hao wamesisitiza kuwa ushirikishwaji mpana wa wadau katika hatua za kuanzisha chuo hicho, ni muhimu ili kiweze kufanya kazi kwa ufanisi na…

Read More