Kuzaa tunaweza, tunashindwaje kusomesha? | Mwananchi

Dar es Salaam. Watanzania tuna msemo mmoja maarufu: “Kuzaa si kazi, kazi ni kulea.” Lakini leo hii msemo huu unaonekana kugeuzwa mzaha. Tunaona watu wengi wakijitosa kwenye starehe ya tendo la ndoa bila kujiuliza matokeo yake. Wengine wanazaa watoto kana kwamba ni jambo la kawaida, lakini hawana maandalizi ya kisaikolojia, kifedha wala kiakili ya kuwalea….

Read More

WENYE ULEMAVU WAHIMIZWA KUDUMISHA AMANI

   Na Mwandishi wetu- Dar es salaam Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amewahimiza Watu Wenye Ulemavu kuwa mabalozi wazuri wa kudumisha amani nchini. Mhe. Nderiananga alieleza hayo wakati wa kikao chake na Wajumbe wa Bodi ya Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania…

Read More

WADAU WA ELIMU WAPITISHA MPANGO MKAKATI 2026

Na Pamela Mollel,Arusha  Wadau wa elimu mkoani Arusha wamepitisha mpango mkakati mpya kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu kwa mwaka wa masomo 2026.  Hatua hii imefikiwa kufuatia tathmini ya utekelezaji wa malengo ya elimu kwa mwaka 2025, tathmini iliyowezesha kubainisha mafanikio, changamoto na maeneo yanayohitaji kuimarishwa. Kikao kazi hicho kimefanyika Desemba 1, 2025 katika…

Read More