Ally Ally achimba mkwara Geita Gold

BEKI wa kati wa Geita Gold, Ally Ally, amesema ubora na upana wa kikosi hicho ndio sababu ya kufanya vizuri msimu huu, licha ya kukiri ushindani umekuwa mkubwa, kutokana na timu zote kupigania kumaliza ndani ya nafasi mbili za juu kwenye msimamo. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Bigman aliyoongoza kwa kuifungia mabao matano…

Read More

Myanmar yafanya uchaguzi, lakini… | Mwananchi

Dar es Salaam. Myanmar imefanya uchaguzi wake wa kwanza tangu jeshi lilipompindua madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Aung San Suu Kyi, mwaka 2021. Ingawa uchaguzi huo unatazamwa kuwa hatua muhimu kwa amani ya taifa hilo, tayari umekumbwa na vikwazo lukuki ikiwemo vita vya ndani na tuhuma za kutokua huru na wa haki. Uchaguzi huo,…

Read More

NMB yaibeba Mapinduzi Cup kwa miaka mitano, SMZ yapongeza

WAANDAAJI wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2026, wameitangaza Benki ya NMB kuwa mdhamini mkuu kwa kipindi cha miaka mitano, huku Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikipongeza. Hayo yamesemwa leo Desemba 28, 2025 mbele ya waandishi wa habari kisiwani Unguja ambapo SMZ, imeipongeza NMB kwa kusaini mkataba huo mnono wa zaidi ya Sh600 milioni kila…

Read More

RC BATILDA, MWANAFA WAKOSHWA NA ‘HALE FESTIVAL’

 📍WAHIMIZA ENZI ZA TX MOSHI WILLIAM KUTUMIKA KUIBUA VIPAJI NA MASHAKA MHANDO, Korogwe MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian, amemwagia sifa mwandaaji wa tamasha la ‘Hale Festival’, Dkt. Hassan Abbas, huku akibainisha kuwa jukwaa hilo ni daraja imara la kuibua na kuendeleza vipaji vya muziki na soka mkoani humo. Akizungumza katika…

Read More

Abiria SGR wasota stesheni, TRC yaeleza sababu

Dar es Salaam. Wakati abiria wa treni ya kisasa (SGR) wakilalamika kusota kwa muda stesheni bila safari kuanza, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeeleza hali hiyo imesababishwa na changamoto za kiufundi zilizotokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi kuhusu hali hiyo leo Desemba 28, 2025 saa 12:24 mchana, baada ya kuripotiwa kwa malalamiko ya…

Read More

Kimbia ndoa ya wanaume aina hii

Dar es Salaam. Si kila mwanaume anafaa kuwa mume, na si kila uhusiano unapaswa kufikishwa katika ndoa. Wapo wanaume ambao dalili zao huonekana mapema lakini hupuuziwa kwa jina la mapenzi, matumaini au uvumilivu. Makala haya yanaangazia aina za wanaume ambao mwanamke anapaswa kuwatazama kwa makini kabla ya kuchukua hatua ya kuolewa. Kuna mwanaume anayejulikana kama…

Read More