Majeraha ya Yacoub yamtibulia Camara Simba

KOCHA mkuu wa Simba, Steve Barker alitarajiwa kutua nchini jana, lakini huku nyuma kukiwa na taarifa ya kushtukiza kutokana na kuumia kwa kipa Yakoub Suleiman ambaye inadaiwa huenda akamponza kipa namba moja wa timu hiyo aliye majeruhi kwa muda mrefu, Moussa Camara. Yakoub aliumia wiki iliyopita akiwa katika mazoezi ya timu ya taifa ya Tanzania…

Read More

Pedro akabidhiwa winga mpya Yanga

YANGA inapiga hesabu na kupambana kumsajili winga mmoja kutoka DR Congo, Ibrahim Matobo, ambaye kama akimalizana na mabingwa hao watakuwa wamelanda dume na kuimarisha kikosi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Yanga ni kwamba, ripoti ya kocha Pedro Goncalves imeelekeza mabosi kuleta winga wa maana ili kukiongezea nguvu kikosi hicho kabla ya kurudi tena…

Read More

Mtibwa SUGAR yataka straika wa kimataifa

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema hautakurupuka kufanya usajili katika dirisha dogo, lakini moja ya nafasi zitakazofanyiwa kazi ni eneo la ushambuliaji ukilenga kushusha straika mmoja wa kimataifa anayejua kufunga mabao ili kuwaondolea hali tete waliyonayo kwa sasa katika Ligi Kuu Bara. Mapema katika gazeti la jana kocha wa timu hiyo, Yusuf Chipo alinukuliwa akidai kuhitaji…

Read More

Pazia la Mapinduzi Cup 2026 lafunguliwa na mambo mawili

KWA namna waandaaji wa Kombe la Mapinduzi 2026 walivyopanga ratiba ya ufunguzi ni wazi waliangalia mambo mawili. Kwanza ushindani ndani ya uwanja, pili burudani kwa mashabiki watakaofika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja. Ushindani uwanjani na burudani unatokana na mechi ya kwanza itakayochezwa leo Jumapili, kisha ile ya pili saa 2:15 usiku. Mabingwa mara…

Read More

Sababu Azam vs URA kuahirishwa Mapinduzi Cup 2026

WAKATI leo Desemba 28, 2025 michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inafunguliwa kwenye Uwanja wa New Aman Complex uliopo Unguja, itapigwa mechi moja pekee badala ya mbili kama ilivyopangwa awali, huku sababu za kufanya hivyo ikitajwa Ratiba ya awali ilionyesha saa 10:15 jioni, Mlandege itacheza na Singida Black Stars, kisha saa 2:15 usiku ni zamu…

Read More

Simulizi ya majeruhi ajali basi la Super Champion

Dodoma. Watu 10 wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kupata majeraha kwenye ajali ya basi la Super Champion, wakitoka Kilimanjaro. Arya Mudemu, mmoja kati ya majeruhi hao amesema ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia leo Desemba 28, 2025. Amesema walipotoka Moshi mkoani Kilimanjaro, dereva alikuwa akiendesha mwendo wa kawaida lakini…

Read More

Mlinda amani wa Umoja wa Mataifa amejeruhiwa kwa risasi karibu na ‘Blue Line’ kusini mwa Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Kulingana na a kumbuka kwa waandishi wa habari iliyotolewa na Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric, tukio hilo lilitokea wakati wa doria ya Kikosi cha Muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon (UNIFIL) alikuwa akikagua kizuizi cha barabarani katika kijiji cha Bastarra kusini mwa Lebanon. The Mstari wa Bluuiliyowekwa na Umoja wa Mataifa, inaenea…

Read More

Ni vitu vidogo lakini vina maana katika ndoa

Canada. Leo, tutaanza na maswali ya kichokozi. Ni maswali yanayoweza kuonekana ya kawaida,  ila yanabeba mengi kuhusiana na siha au ugonjwa wa ndoa. Kuna vitu vinavyoweza kuonekana vidogo, visivyo vya maana hata kukera. Kama ukivichunguza uzuri, vina maana kubwa. Kwa mfano, mnaenda dukani mkiwa mmeshakubaliana na mwenza wako nini cha kununua. Hata hivyo, baada ya…

Read More

Sababu Hospitali ya Temeke kufanyiwa uchunguzi

Dar es Salaam. Baada ya malalamiko ya wadau na wananchi kuhusu mwenendo wa ubora wa huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke, Serikali imeagiza uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha changamoto hizo. Kwa siku kadhaa baadhi ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii wamekuwa wakitoa malalamiko kuhusu utendaji usioridhisha katika hospitali hiyo, yakiwamo ya kuzimwa…

Read More

Mageuzi Jeshi la Polisi yaja, yamulike haya

Dar es Salaam. Wakati Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene akiweka wazi dhamira ya Serikali kufanya mageuzi ndani ya Jeshi la Polisi baada ya mwaka mpya, wadau wametaka wigo utanuliwe ili watu wengi washiriki. Kwa mujibu wa wadau, kuna haja ya kukusanya maoni ili kuongeza tija katika mageuzi, ikiwamo kusaidia hadidu za…

Read More