Msako wa pointi unaendelea championship!

BAADA ya jana kupigwa mechi mbili za raundi ya 12 za Ligi ya Championship, msako mwingine wa kuwania pointi tatu muhimu unaendelea leo Jumamosi na kesho Jumapili, huku ushindani kwa kila timu ukizidi kuongezeka pia kila uchao. Vinara wa ligi hiyo, Geita Gold iliyolazimishwa sare ya bao 1-1, mechi iliyopita dhidi ya Kagera Sugar iliyo…

Read More

Mlandege inautaka ubingwa Mapinduzi Cup

MSIMU mpya wa michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2026 inatarajiwa kuanza kesho Jumapili kwa klabu 10 ikiwamo Mlandege zitaanza mshikeshike wa wiki kama mbili kusaka taji hilo. Mlandege kwa sasa ndio watetezi ikishikilia taji hilo kwa misimu miwili mfululuzo ya mwaka 2023 na 2024, ikiwa ni rekodi tangu michuano ya Kombe la Mapinduzi…

Read More

Taifa Stars ni jambo moja tu, Foba atuma salamu

HAKUNA kingine kinachohitajika kwa Taifa Stars leo ila ni ushindi tu. Kila Mtanzania bila kujali imani yake, anapaswa kuomba dua njema ili Stars itoboe mbele ya Uganda The Cranes. Stars inatarajiwa kushuka uwanjani usiku wa leo Jumamosi kucheza mechi ya pili ya Kundi C ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 dhidi…

Read More

Wareno wamfuata Bacca AFCON | Mwanaspoti

LEO timu ya taifa (Taifa Stars), itakuwa uwanjani ikicheza mechi ya pili ya Kundi C ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 dhidi ya Uganda ‘The Cranes’, lakini kabla ya mechi hiyo kuna simu kadhaa zimepigwa katika kambi ya Stars zikimuulizia beki wa kati, Ibrahim Hamad ‘Bacca’. Si uliona kiwango alichoonyesha beki huyo wa…

Read More

SMZ kutumia Sh145.9 bilioni ujenzi wa nyumba Chumbuni

Unguja. Ujenzi wa nyumba 3,000 za makazi bora unatajwa kuleta mabadiliko kwa wananchi wa Zanzibar, ikiwa ni hatua ya kuendeleza makazi bora. Jiwe la msingi la nyumba hizo zinazojengwa Chumbuni, Mkoa wa Mjini Magharibi, limewekwa leo Desemba 27, 2025 katika shamrashara za Mapinduzi ya Zanzibar. Nyumba hizo zinajengwa kwa awamu, ya kwanza ikihusisha ujenzi wa…

Read More

KOICA, wadau wa kilimo wataja vipaumbele vinne 2026

Songwe. Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Kimataifa la Korea (Koica) na Shirika la Good Neighbors Tanzania sambamba na wadau wakiwamo wa sekta ya kilimo cha mahindi Mkoani Songwe, wamekubaliana vipaumbele vya mwaka 2026, vinavyoenda kutekelezwa. Hayo yamejiri leo katika warsha Mbali na mambo mengine, imezungumzia utekelezaji wa Mradi wa Mahindi Songwe unaofadhiliwa na Koica….

Read More

Ushindi na Vikwazo katika 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Brenton Geach/Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumamosi, Desemba 27, 2025 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Desemba 27 (IPS) – Saa chache kabla ya viongozi wa dunia kukusanyika Johannesburg kwa ajili ya mkutano wa kilele wa G20 wa 2025 mwezi Novemba, mamia ya wanawake wa Afrika Kusini akiwa amevalia nguo nyeusi…

Read More

Mabasi yakacha Stendi ya Magufuli, Serikali yachunguza

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutumia zaidi ya Sh50 bilioni kujenga Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, bado mabasi hayo yanaendelea kushusha na kupakia abiria nje ya kituo na hivyo kukikosesha mapato. Kufuatia hali hiyo, Serikali imeunda timu maalumu ya wataalamu itakayofanya tathmini ya kina ya uendeshaji wa stendi hiyo, itakayofanya kazi kwa siku…

Read More

Mikoa hii ijiandae kwa mvua kubwa kesho

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa 20 nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA, leo Jumamosi Desemba 27, 2025 imetaja mikoa hiyo kuwa ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kigoma, Katavi, Singida, Dodoma, Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Morogoro, Ruvuma, Tanga,…

Read More