Kampuni yaamriwa kuilipa Serikali Sh146.6 milioni

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeiamuru Kampuni ya M/S Climate Consult (T) Limited kulipa zaidi ya Sh146.6 milioni, baada ya kushindwa kutekeleza mkataba wa kusambaza vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), kwa taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Mahakama imeeleza mwaka 2020 kampuni hiyo ilishinda…

Read More

HAMAD FURAHISHA AMETUFURAHISHA

 :::::::: Bondia wa ngumi za kulipwa Hamad Furahisha raia wa Tanzania usiku wa kuamkia leo alikua kwenye ubora wake wa hali ya juu dhidi ya Mmalawi Hanock Phiri. Kuanzia raundi ya kwanza hadi ya sita Furahisha alicheza vizuri lakini kuna namna alitaka kubishana na Phiri katika aina yake ya mchezo ambao uliwapa shida mabondia kadhaa…

Read More

MWAKINYO AMCHAPA MNIGERIA KWA KO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu. Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa, pambano ambalo lilikuwa la raundi 10 lakini kufikia raundi ya…

Read More