December 2025
Wataalamu ‘wamuuma sikio’ Mwigulu kuhusu ujenzi chini ya kiwango
Dar es Salaam. Wakati Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba akitoa maagizo kila mkoa kuanzisha vitengo vya kuchunguza na kukabiliana na ujenzi chini ya kiwango, wataalamu wa sekta ya ujenzi wamesema hatua hiyo haitoshi wakieleza mambo matano ya kufanya kushughulikia changamoto hiyo. Wataalamu hao wamesema vitengo anavyovitaja Dk Mwigulu tayari vipo katika mikoa mingi, lakini…
Madereva wanne wanaswa kwa ulevi sikukuu
Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia madereva wanne waliokutwa wakiendesha vyombo vya moto wakiwa wamelewa wakati wa sikukuu ya Krismasi. Pamoja na madereva hao, polisi pia wamewakamata watuhumiwa wengine wa makosa tofauti, ikiwemo umiliki wa silaha za kienyeji na kujihusisha na biashara haramu ya wanyamapori. Hayo yameelezwa leo Ijumaa, Desemba 26, 2025, na…
AMANI NA UTULIVU VYATAWALA SIKUKUU YA KRIMASI DAR ES SALAAM
Maelfu ya Wananchi wa Mkoa wa Dar Es Salaam wameendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali Jijini hapa kwaajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, iliyo maarufu zaidi kwa waumini wa dini ya Kiikristo kote ulimwenguni ikiwa leo ni siku ya pili maarufu kama Boxing day, siku maalum kwaajili ya kupeana zawadi za Krismasi. Suala la amani, utulivu…
Waalamu ‘wamuuma sikio’ Mwigulu kuhusu ujenzi chini ya kiwango
Dar es Salaam. Wakati Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba akitoa maagizo kila mkoa kuanzisha vitengo vya kuchunguza na kukabiliana na ujenzi chini ya kiwango, wataalamu wa sekta ya ujenzi wamesema hatua hiyo haitoshi wakieleza mambo matano ya kufanya kushughulikia changamoto hiyo. Wataalamu hao wamesema vitengo anavyovitaja Dk Mwigulu tayari vipo katika mikoa mingi, lakini…
Huu ndio mzigo wa wajawazito inaoubeba hospitali ya Wilaya Jitimai
Unguja. Hospitali ya Wilaya ya Jitimai, Mkoa wa Mjini Magharibi, yenye vitanda 16 vya wajawazito, inapokea zaidi ya wajawazito 30 kila siku, hali inayolazimu kitanda kimoja kulala zaidi ya wanawake wawili. Kwa mujibu wa hospitali hiyo, idadi ya wajawazito hubadilika kulingana na msimu, ambapo kila mwezi inapokea zaidi ya wajawazito 700. Katika mkesha wa Krismasi,…
Mzenji anukia Fountain Gate | Mwanaspoti
UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Pamba Jiji, Saleh Masoud Abdallah ‘Tumbo’, baada ya mchezaji huyo kudaiwa kufikia uamuzi huo wa pande mbili ili akapate changamoto mpya. Nyota huyo aliyejiunga na Pamba msimu wa 2024-2025, akitokea Klabu ya JKU ya kwao visiwani Zanzibar, inaelezwa ameomba…
Ruwaichi Ajilipua Kanisani ”Waliomshtaki Padri Kitima Ni Vibaraka , Wana Njaa” -Video
Ruwaichi Ajilipua Kanisani ”Waliomshtaki Padri Kitima Ni Vibaraka , Wana Njaa” -Video – Global Publishers Home Habari Ruwaichi Ajilipua Kanisani ”Waliomshtaki Padri Kitima Ni Vibaraka , Wana Njaa” -Video
Kampuni ya ya Airtel Tanzania Imewataka Wanavyuo Nchini Kutumia Fursa ya Kimtandao
KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni. Hayo yamebainisha mapema hii Leo Disemba 12, 2025, na Meneja wa Airtel Staff Saccos, Gasper Swai, katika hafla fupi katika Chuo Cha biashara (CBE) kilichopo jijini dar es salaam, ambapo amesema lengo kuu la hafla…
MBUNGE LUTANDULA ASHIRIKI BATA LA CHRISTMAS NA WAGONJWA
…………. CHATO IKIWA ni utekelezaji wa kauli mbiu ya KAZI na BATA kwa wananchi wa Jimbo la Chato Kusini, Mbunge wa Jimbo hilo Pascal Lutandula, ameshiriki chakula cha pamoja na watu wasiojiweza, wagonjwa waliolazwa kwenye kituo cha afya Bwanga pamoja na kutoa zawadi mbalimbali kwa baadhi ya watumishi wa kada ya afya. Hatua hiyo imelenga…