Mauya, Mbeya City kuna jambo

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa kuanzia Januari Mosi, 2026, uongozi wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kiungo wa Yanga, Zawadi Mauya, ikiwa ni pendekezo la Kocha Mkuu, Mecky Maxime. Mauya ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoachana na KenGold Juni 30, 2025, baada ya timu hiyo kushuka daraja…

Read More

Barker ashikilia hatma ya kipa mpya Simba

WAKATI kipa namba mbili wa klabu ya Simba Yacoub Seleman, akipelekwa hospitali iliyoko nchini Morocco kwa matibabu, hatma ya kipa mpya imeachwa mikononi mwa kocha Steven Barker. Rasmi Simba imempeleka Yacoub kupata matibabu kwenye hospitali ileile ambayo kipa namba moja Moussa Camara alitibiwa, huku Wekundu hao wakisimamia matibabu yake licha ya kwamba aliumia kwenye majukumu…

Read More

Mechi za lawama Mapinduzi Cup 2026

BAADA ya jana Jumanne kuwa ni mapumziko, leo Jumatano michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inaendelea kwa kuchezwa mechi mbili za kundi A. Uhondo wa mechi za leo unatokana na wapinzani wanaokwenda kukutana, huku kila mmoja akihitaji kushinda na kusaka rekodi. Lakini katika mechi hizo, matokeo mabaya kwa upande wowote, lazima mtu alaumiwe na si…

Read More

Tra Bi ajiandaa kusepa Singida Black Stars

BEKI wa kati wa raia wa Ivory Coast anayekipiga Singida Black Stars, Anthony Tra Bi Tra yupo katika hatua za mwisho za kuachana na kikosi hicho dirisha hili dogo la usajili, huku mkataba wake ukibaki miezi sita. Nyota huyo aliyejiunga na Singida Agosti 7, 2024, akitokea Asec Mimosas ya Ivory Coast, alisaini mkataba wa miaka…

Read More

Kelvin Kijili kuibukia TRA United

TRA United imetuma ofa Singida Black Stars ya kumtaka beki wa kulia, Kelvin Kijili, ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya raundi ya pili msimu huu. Kijili aliyeitumikia Simba msimu uliopita alirejea Singida msimu huu na kusaini mkataba wa miaka miwili ambao utamalizika mwakani. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa viongozi wa TRA…

Read More

 Mrindoko afariki dunia, Tirdo yamlilia

Dar es Salaam. Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (Tirdo), limehuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la taasisi hiyo, Bashir Mrindoko, likisema atakumbukwa kwa umahiri na ubunifu katika kuendeleza taasisi na Taifa. Mkurugenzi Mkuu wa Tirdo, Profesa Mkumbukwa Mtambo amesema taasisi hiyo inaungana na familia, ndugu na jamaa wa…

Read More