POLISI DAR YAPIGA MARUFUKU KUCHOMA MATAIRI NA KUPIGA BARUTI BILA VIBALI
……….. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewatahadharia wananchi wenye tabia ya kuchoma matairi barabarani na maeneo mengine hatarishi, kupiga baruti au fataki bila vibali maalum na kwa kufanya hivyo hatua za haraka za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu au kundi lolote litakalobainika kufanya vitendo hivyo na kusababisha hofu au usumbufu kwa…