Kwa nini ‘ujibusti’ nguvu za kiume kwa vidonge?

Kazi nyingi za kiutafiti zinaendelea kuonyesha kuwa wanaume wengi wanakumbwa na tatizo la nguvu za kiume, huku mtindo wa maisha ukionekana kuchangia shida hii. Ni suala ambalo limewasukuma wengi kuanza kutumia vidonge vya kuongeza nguvu hii, suala ambalo linazidi kuhatarisha maisha ya wengi. Hata hivyo, kuna vyakula, ambavyo kulingana na wataalamu, mtu akivizingatia, vinaweza kusaidia…

Read More

VIDEO: Nondo za maaskofu wakitoa ujumbe za Krismasi

Dar/mikoani. Sikukuu ya Krismasi imetamatika, huku viongozi wa kiroho wakitaka itumike kuwa chachu ya kuzika tofauti na kujenga utayari wa kuanza upya, wakisisitiza kukomeshwa kwa ufisadi, ukatili, ulafi, ibada za uongo, hasira na fitina. Katika baadhi ya madhabahu, sikukuu hiyo na ile ya Mwaka mpya, viongozi wa makanisa wametaka ziwe mwanzo wa jamii kuthamini uhai…

Read More

Safari ya ujauzito na maajabu yake

Ujauzito ni safari ya kipekee inayobadilisha mwili wa mwanamke kwa njia za ajabu na za kushangaza. Ndani ya miezi michache tu, mwili huanza kufanya kazi kwa viwango visivyo vya kawaida ili kulea na kulinda kiumbe kinachokua tumboni.Unaweza kuichukulia kama safari ya kawaida? La hasha! Ni safari ngumu yenye mabadiliko makubwa ya mwili ambayo mama hupitia…

Read More

Dube, Diarra mzigoni leo AFCON 2025

RAUNDI ya pili ya mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 inaendelea leo Ijumaa kwa mechi nne zinazojumuisha timu za Kundi A na B ambazo zina baadhi ya wachezaji wanaotamba katika Ligi Kuu Bara akiwamo kipa Diarra Djigui na Prince Dube wote wa Yanga. Mapema saa 9:30 alasiri, Angola ilipoteza…

Read More

Singida BS kamili yaifuata Mlandege

KIKOSI cha Singida Black Stars kinaondoka leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya mechi ya kwanza ya ufunguzi ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mlandege itakayopigwa Jumapili ya Desemba 28, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja. Mechi hiyo itakuwa ya ufunguzi wa mashindano hayo ambapo itapigwa saa 10:15 jioni, ikifuatiwa na ya saa…

Read More

Pamba Jiji yatema bungo kwa Sebo

UONGOZI wa Pamba Jiji umekubali yaishe kwa kuafikiana na aliyekuwa beki wa kati wa kikosi hicho, Abdallah Kheri ‘Sebo’, ili kwenda kujiunga rasmi na Singida Black Stars kwa ajili ya kumalizia mkopo wake wa miezi sita uliobaki. Nyota huyo alijiunga kwa mkopo kwenda Pamba kwa msimu mzima, japo tayari ameitumikia miezi sita na sasa atamalizia…

Read More

Yona Amosi apata mtetezi Bara

HUTOKEA mara chache sana kwa wachezaji kupigiana chapuo na hiki kimedhihirishwa na nyanda wa Coastal Union, Wilbol Maseke aliyemtaja kipa wa Pamba Jiji, Yona Amosi kuwa anapaswa kutazamwa kwa jicho la ziada, huku akiweka wazi ana kipaji kikubwa na kama atapata nafasi ya kuitwa timu ya taifa, Taifa Stars itasaidia kumpa uzoefu utakaokuja kuibeba timu…

Read More

Baresi, Pweka waungana KMC | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kufahamika kuwa mabosi wa KMC wameafiki kuamuajiri aliyekuwa kocha wa Zimamoto ya Zanzibar, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ ili kwenda kuchukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo inadaiwa ametua na msaidizi kutoka visiwani humo. Maximo aliachana na kikosi hicho Desemba 6, 2025, baada ya kudumu kwa siku 131, tangu alipotambulishwa, Julai 28,…

Read More