Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi!
Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi! – Global Publishers Home Habari Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi!
Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi! – Global Publishers Home Habari Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi!
SIMBA inatarajiwa kuupokea ugeni mzito wa kocha mpya, Steve Barker na wasaidizi wake wikiendi hii kabla ya kuanza safari ya kwenda Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini kuna jambo linaloonekana mabosi wa klabu hiyo hawatanii, ni kuhusu msako wa kipa mpya. Timu hiyo inayoshika nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu…
Dar/mikoani. Sikukuu ya Krismasi imetamatika, huku viongozi wa kiroho wakitaka itumike kuwa chachu ya kuzika tofauti na kujenga utayari wa kuanza upya, wakisisitiza kukomeshwa kwa ufisadi, ukatili, ulafi, ibada za uongo, hasira na fitina. Katika baadhi ya madhabahu, sikukuu hiyo na ile ya Mwaka mpya, viongozi wa makanisa wametaka ziwe mwanzo wa jamii kuthamini uhai…
Tabora. Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu, Samir Adam mkazi wa mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo manispaa ya Tabora amefariki dunia baada ya kuzama kwenye shimo lililojaa maji, huku wengine watatu wakisombwa na maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa nne. Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 25,2025 baba mzazi wa…
Tanga. Safari ya kusherehekea sikukuu ya Krismasi mjini Moshi imegeuka majonzi baada ya dereva wa gari dogo, Justine Jacobo Njau (32), kufariki dunia papo hapo na wengine wanne wakijeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea alfajiri ya Desemba 25, 2025, mkoani Tanga. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, ajali hiyo ilitokea…
………….. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameitahadharisha jamii ya watanzania kujiepusha na msukumo wa dhulma,uongo na ubinafsi unaoenezwa kupitia mitandao ya kijamii Ametoa rai hiyo leo, wakati wa Ibada ya Krismasi iliyosaliwa katika Kanisa la Parokia ya Pwaga, wilayani Mpwapwa, mkoani Dodoma huku Paroko wa Parokia hiyo,Padri Daniel Kijaji akimuombea hekima…
BILA Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
MERIDIANBET inaleta upepo mpya wa burudani kupitia Meridian Panda Deluxe, sloti ya kisasa inayochanganya urahisi wa muundo na mvuto wa ushindi. Ingawa ina mpangilio wa 3×3 unaoonekana kuwa mwepesi, mchezo huu umejengwa kwa kasi na mvuto unaowafanya wapenzi wa sloti kubaki macho kila mzunguko unapozunguka. Mara tu unapoingia ndani ya Meridian Panda Deluxe, macho yanavutiwa…
Na mwandishi wetu, Morocco NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), katika kujitangaza na kukaribisha wadau na wawekezaji katika sekta ya utalii ili kutanua wigo wa utalii nchini. Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Rabat, Morocco, Chande amesema kuwa jambo…