SHEMDOE AWATAKA WALIOKWENDA KUSHEHEREKEA KRISMASI VIJIJINI KUNUNUA BIDHAA ZA WENYEJI

Na James Mwanamyoto – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewahimiza wananchi waliosafiri kutoka mijini kwenda vijijini, kuhakikisha wananunua bidhaa huko huko vijijini ili kuleta tabasamu na kuongeza mzunguko wa fedha vijijini. Prof. Shemdoe ametoa wito huo katika salaam…

Read More

Zanzibar yajivunia uwenyeji mashindano ya Africa Sports Federation

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema inajivunia kuwa mwenyeji wa mashindano ya Africa Sports Federation ambayo yanafanyika visiwani hapa kwa mara ya kwanza. Mashindano hayo ya 47, yanashirikisha wanamichezo 300 kutoka jumuiya za Khoja Shia Ithnashir duniani wakiwamo wanaume na wanawake yanayolenga kukuza michezo Zanzibar ambapo tamati ni Desemba 28, 2025. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

RC Mhita asherehekea Krismasi na watoto wenye uhitaji

Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amewataka ndugu wa watoto wenye uhitaji kujiongeza pale wanapoona watoto hao wanapungukiwa kwa sababu kuna baadhi yao wanatelekezwa na wazazi na kuishi katika mazingira magumu. Akizungumza leo Desemba 25, 2025 katika hafla fupi ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na watoto hao Mhita amesema kuwa, viongozi wanatakiwa kuziba…

Read More

VIONGOZI WA DINI ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UMOJA NA AMANI.

  ……….. *Atoa wito kwa Watanzania kuhimiza umoja na amani Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa elimu ya umoja na amani, kupinga chuki, migawanyiko na vitendo vyovyote vinavyoweza kuvuruga mshikamano waTaifa. Amesema kuwa vita yoyote inayohusisha wenyewe kwa wenyewe huwa haina mshindi bali ina…

Read More

Majeruhi ajali ya kanisa waeleza mkasa mzima

Dodoma. Siku moja baada ya watu wanne kupoteza maisha kutokana na kuangukiwa na ukuta wa Kanisa la Anglikana mkoani Dodoma, majeruhi wameelezea jinsi ajali ilivyotokea. Mbali na waliopoteza maisha, wengine 17 walijeruhiwa na kupelekwa hospitali kupata matibabu. Hata hivyo, Askofu wa kanisa hilo, Dk Dickson Chilongani, ametangaza michango kwa dayosisi ya kati ili kugharamia matibabu…

Read More

CAF yaibeba tena Yanga Uarabuni

MASHABIKI wa Yanga someni hii itawapa raha. Shirikisho  la Soka Afrika (CAF) kupitia Kamati ya Nidhamu, imeishushia rungu zito AS FAR Rabat ya Morocco, uamuzi ambao utawabeba Mabingwa hao wa Soka nchini katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Waarabu hao. AS Far Rabat imeshushiwa adhabu Kali na CAF kufuatia vurugu…

Read More

Dk Mwigulu awaomba viongozi wa dini kuhimiza umoja, amani

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutoa elimu ya umoja na amani, kupinga chuki, migawanyiko na vitendo vyovyote vinavyoweza kuvuruga mshikamano waTaifa. Amesema kuwa vita yoyote inayohusisha wenyewe kwa wenyewe huwa haina mshindi bali ina kupoteza wote na mgawanyiko ndani ya taifa…

Read More