Mkuu wa Jeshi Libya afariki kwa ajali ya ndege, wengine saba

Lybia. Ajali ya ndege iliyotokea katika ardhi ya Uturuki imesababisha kifo cha Mkuu wa Jeshi la Libya, Jenerali Muhammad al-Haddad, maofisa wengine wanne pamoja na wahudumu wa ndege watatu. Muda mfupi baada ya kutokea ajali hiyo na kuwatambua waliokuwemo, Jana Jumatano Desemba 24, 2025, Rais wa Uturuki, Recep Erdogan ametuma salamu za rambirambi kwa kiongozi…

Read More

Mastaa Yanga wafunika AFCON | Mwanaspoti

KATI ya nyota 25 kutoka Ligi Kuu Bara wanaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazoendelea nchini Morocco, wale wa Yanga wameonekana kuanza na namba nzuri wakiongozwa na mshambuliaji Prince Dube. AFCON 2025 iliyoanza Desemba 21 huko Morocco na Ligi Kuu Bara inawakilishwa na nyota hao 25 kutoka klabu tano tu zikiwamo Simba…

Read More

Mchoro wa UN kwa siku zijazo – Masuala ya Ulimwenguni

Lakini si lazima iwe hivi. Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO), wakala wa kiufundi ulioundwa mwaka wa 1966 kusaidia Ulimwengu wa Kusini kuendeleza na kufanya viwanda, leo hii umejitolea kuhakikisha nchi zinaendelea kwa njia ambayo inatufaidi sisi sote, pamoja na sayari yenyewe. Katika Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Viwanda huko…

Read More

Askofu Chakupewa: Siasa za udini zinachochea migogoro, hazifai

Tabora. Askofu wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Tabora, Elias Chakupewa amesisitiza kutofanya siasa za udini kwani zinachochea migogoro miongoni mwa madhehebu ya dini na jamii kwa ujumla. Amesema hayo leo Alhamisi Desemba 25,2025 wakati akizungumza na waumini wa kanisa hilo katika ibada ya Sikukuu ya Krismasi, huku akisisitiza kusherehekewa sikukuu hiyo kwa amani na utulivu….

Read More

Bunge la Algeria latunga sheria waliotawala ukoloni walipe fidia

Algeria. Bunge la Algeria limepitisha sheria inayotangaza ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria kuwa ni uhalifu. Wabunge wa Algeria walipokutana bungeni Jumatano, walifungua kikao kwa kuimba wimbo wa taifa. Baadaye walipitisha kwa kauli moja muswada unaotangaza ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria kuwa ni uhalifu wa dola. Sheria hiyo mpya inaitaka Ufaransa kuomba radhi na kutoa fidia….

Read More