TMDA yaimarisha ulinzi dawa zenye asili ya kulevya

-Waganga wafawidhi, wafamasia wapigwa msasa kuzuia uchepushaji Na MASHAKA MHANDO, Tanga MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imetoa mafunzo maalum kwa Waganga Wafawidhi, Wafamasia na Wakaguzi wa dawa kutoka wilaya nne za Mkoa wa Tanga, lengo likiwa ni kudhibiti matumizi holela ya dawa za tiba zenye asili ya kulevya (Narcotics & Psychotropics) ili kuzuia…

Read More

Ishi chini ya kipato, si ndani ya kipato chako

Kuishi chini ya kipato chako, sio ndani ya kipato chako ni nidhamu inayojenga uhuru wa kifedha katika kipindi ambacho gharama za maisha zinaongezeka, shinikizo la kijamii ni kubwa na mikopo inapatikana kirahisi. Haya yote hutokea wakati ambao watu wengi hujivunia kusema wanaishi ndani ya kipato chao ingawa kauli hii inaonekana ya uwajibikaji lakini mara nyingi…

Read More

Elimu ya bima bado changamoto kwa jamii      

Morogoro. Jamii imetakiwa kuongeza uelewa na kuchukua hatua za makusudi katika kukata bima za vyombo vya moto kama njia ya kujilinda dhidi ya majanga yanayotokana na ajali za barabarani ambazo hurudisha nyuma maisha ya watu kiuchumi na kijamii. Akizungumza na Mwananchi, Meneja wa kampuni ya bima ya Bumaco Insurance Ltd tawi la Morogoro, Faith Boma…

Read More