Bao la Dube AFCON laibua makocha

MSHAMBULIAJI Prince Dube amefunga bao flani la kihistoria wakati timu ya taifa ya Zimba-bwe ikilala kwa mabao 2-1 mbele ya Misri katika michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 inayoendelea huko Morocco na kuwaibua makocha wawili waliotoa ushauri kwa klabu ya Yanga. Dube mwenye mabao mawili Ligi Kuu Bara kwa msimu huu, alifunga bao…

Read More

TMA Stars yawapa ‘thank you’ kocha na wasaidizi wake

Klabu ya TMA Stars FC kupitia kwa Katibu wake Mkuu, Mbwana Hamad Mbwana  umetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Habibu Kondo pamoja na wasaidizi wake. Kupitia taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesema sababu za kusitisha mikataba yao ni kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. “Klabu ya…

Read More