DKT. ABBAS AHAMASISHA WAKAZI WA DAR ES SALAAM KUSHIRIKI TAMASHA LA FUNGA MWAKA KIJANJA TALII

………… 📍 Athibitisha Utalii Kuimarika zaidi nchini  Na Beatus Maganja, Dar es Salaam  TAMASHA la Funga Mwaka Kijanja Talii Msimu wa Pili linaloendelea katika viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam limeelezwa kuwa fursa muhimu kwa wakazi wa jiji hilo na Watanzania kwa ujumla kufanya utalii wa ndani kwa kushuhudia vivutio mbalimbali vya wanyama pori….

Read More

Helkopta yaanguka mlima Kilimanjaro, watano wafariki

Moshi. Helkopta ya kampuni ya uokoaji ya KiliMediaur Aviation imepata ajali maeneo ya kati ya Kibo na Barafu Camp katika Mlima Kilimanjaro na kusababisha vifo vya watu watano. Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, leo Desemba 24, saa 11:30 ikiwa inatoka kuchukua wagonjwa wa kampuni ya Utalii BobyCamping….

Read More

Dkt. Abbasi: Watalii Waongezeka kwa asilimia 9 Tanzania

 *Aalika Wananchi Kutalii XMas, Mwaka Mpya Sabasaba Dar Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii. Dkt. Hassan Abbasi amesema hali ya utalii nchini iko imara kuliko wakati wowote katika historia ya sekta hiyo. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Disemba 24, 2025, jijini Dar es Salaam alipozungumza na waandishi wa habari mara…

Read More

Mahakama yafuta sharti Waislamu wote kutambulishwa na Bakwata

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imefuta sharti la Waislamu wote kutakiwa kuwa na barua ya Baraza Kuu la Waislamu (Bakwata) inayowatambulisha wanapohitaji kupata huduma mbalimbali hususan kusajili taasisi za kidini. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano, Desemba 24, 2025 na jopo la majaji watatu, Elizabeth Mkwizu (kiongozi wa jopo) Awamu Mbagwa…

Read More

Mapambo ya Krisimasi yaacha kilio kwa wafanyabiashara

Kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali nchini kumeathiri kwa kiasi kikubwa biashara za msimu wa sikukuu, huku wafanyabiashara wa miti na mapambo mengine ya Krismasi wakilalamikia uhaba wa wateja. Wafanyabiashara hao wamesema tofauti na miaka iliyopita nyakati kama hizi ambazo mauzo yalikuwa makubwa, msimu huu umekuwa tofauti kutokana na hali ya uchumi na mabadiliko ya…

Read More

Menejimenti Temesa kikaangoni | Mwananchi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ameagiza kufutwa kazi na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), Lazaro Kilahala, na menejimenti ya wakala huo kutokana na tuhuma za ubadhilifu wa zaidi ya Sh2.5 bilioni. Agizo hilo la Dk Mwigulu linakuja wiki mbili baada ya…

Read More

Mbuzi hashikiki Moshi, bei yapaa yafikia Sh500,000

Moshi. Mbuzi hashikiki. Ndivyo wafanyabiashara wa nyama ya mbuzi mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wanavyoelezea hali ya soko katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, baada ya bei ya mnyama huyo kupanda kwa kasi akiuzwa kati ya Sh400,000 hadi Sh500,000 kwa mmoja mwenye uzito wa kilo 25 hadi 30. Kupanda kwa bei hiyo kumeibua…

Read More