Kilimanjaro mguu sawa, utekelezaji bima ya afya kwa wote

Moshi. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk Jairy Khanga, amewataka wataalamu na watoa huduma za afya mkoani humo kuanza mara moja utekelezaji wa majaribio ya bima ya afya kwa wote kwa maelekezo ya Serikali. Amewataka kujikita katika utoaji wa elimu, uhamasishaji na maandalizi ya vituo vya kutolea huduma, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora…

Read More

Waziri Mavunde alivyobadili maisha ya Scholastica

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitembelea familia ya Scholastica Shitebi, mwenye ulemavu anayeishi mkoani Shinyanga ambaye alikutana naye miaka mitatu iliyopita jijini Dodoma, akiomba msaada wa ada ya mwanawe aliyekuwa na ufaulu mzuri shuleni. Mavunde alikutana na Scholastica karibu na ofisi yake Dodoma, ambako mwanamke huyo alikuwa akiomba msaada kwa wapita njia ili apate…

Read More

Wakulima waonywa matumizi  viuatilifu vyenye sumu

Dodoma. Wakulima nchini wamehimizwa kuacha matumizi ya viuatilifu vyenye sumu kali na badala yake kuzingatia kilimo salama kisichohatarisha afya za walaji, ili kulinda mazingira na kuongeza fursa za kupata masoko ya ndani na ya kikanda. Akizungumza leo, Desemba 24, 2025, jijini Dodoma, Mtafiti kutoka Mamlaka ya Viuatilifu na Afya ya Mimea Tanzania (TPHPA), Dk Jones…

Read More

Neno uzalendo linavyozua mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Upi uzalendo kati ya kukosoa au kuwa mtii kwa Serikali na mamlaka? Ndilo swali linaloibua mijadala katika mitandao ya kijamii, kila upande ukiona unachokifanya kinaakisi msamiati huo. Wapo wanaouhusisha uzalendo na matendo ya kuikosoa Serikali wakisisitiza kuwa kukosoa, kuhoji na kusimamia uwajibikaji ni kitendo halisi cha kizalendo. Lakini, upande mwingine unauona uzalendo…

Read More

Baresi aanza na washambuliaji KMC

KOCHA Mkuu wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema timu haiwezi kufunga bila ya kuwa na washambuliaji wenye ubora wa kuona lango, hivyo mpango wa kwanza ndani ya timu hiyo ni kufanyia kazi eneo hilo dirisha la usajili sambamba na kumchomoa beki mmoja Zimamoto. Baresi amejiunga na KMC kuziba pengo la Marcio Maximo aliyefikia makubaliano ya…

Read More

Enock Jiah kambi popote | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji Mtanzania aliyekuwa anacheza Ligi Kuu ya Oman katika klabu ya Fanja, Enock Jiah amerejea nchini na kwa sasa anasikilizia klabu za Ligi Kuu Bara itakayomvutia kimasilahi ili ajiunge nayo kwani yeye ni kambi popote. Jiah alitumikia Fanja kwa msimu mmoja akijiunga nayo mapema mwaka huu akitokea KMKM na kwa sasa yupo huru na…

Read More

TRA yamgeukia beki wa Coastal

KLABU ya TRA United imeanza harakati za kuimarisha kikosi chake katika dirisha dogo la usajili linalota-rajiwa kufunguliwa Januari Mosi 2026 baada ya kuonyesha nia ya kuhitaji huduma ya beki wa kati wa Coastal Union, Haroub Arola. Taarifa kutoka ndani ya TRA United, zinaeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo una mpango wa kumsajili beki huyo moja…

Read More