Wanane kortini wakidaiwa kuingiza bangi kutoka Malawi

Dar es Salaam. Watu wanane wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi zenye uzito wa kilo 90.89. Wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru amewataja majina washtakiwa kuwa ni  Jaribu Tindwa, Juma  Mfumo, Rahim Nampanda, Aboubakari Ally, Nurdin Mussa(36), Farid Rashid(36), Ally Neesha na Mussa…

Read More

Zakaria amalizana na Mashujaa mapema

BAADA ya Mwanaspoti kuripoti beki wa kati wa Mashujaa, Abdulmalik Zakaria yupo mbioni kujiunga na Singida Black Stars, mwenyewe amefichua ni kweli ameshamalizana na maafande wa Mashujaa na kwamba mipango yake ni kumaliza msimu akiwa na chama jipya kabisa. Zakaria amemalizana na Mashujaa kwa kuwashukuru viongozi, wachezaji wenzake na benchi la ufundi kwa muda waliokuwa…

Read More

Baada ya miezi minane chuma kimerudi Azam

BAADA ya kiungo wa Azam, Adolf Mtasingwa kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi minane akiuguza majeraha ya kifundo cha mguu, nyota huyo amerejea na kuungana na wachezaji wenzake, ikiwa ni ishara nzuri kwa kikosi hicho katika mechi zijazo. Nyota huyo mara ya mwisho kuonekana uwanjani, ilikuwa ni katika mechi ya Ligi Kuu Bara ambayo…

Read More

Kocha Fountain Gate avamia Championship

FOUNTAIN Gate imeibuka na hesabu tofauti, wakati wengine wakisaka mastaa kutoka Ligi Kuu Bara na nje ya Tanzania, yenyewe imekimbilia Ligi ya Championship kuangalia nyota wa kuimarisha kikosi chao. Hesabu hizo zimeibuliwa baada ya kocha wa kikosi hicho, Mohammed Ismail ‘Laizer’ kuonekana kwenye mechi mbalimbali za Ligi ya Championship akifuatilia kwa umakini huku akiwa na…

Read More

Taifa Stars ina kitu, hesabu zipo Uganda

HAIKUWA kinyonge. Nigeria wenyewe wameukubali mziki wa Taifa Stars katika mechi ya kwanza ya fainali za mataifa ya Afrika huko Morocco kwa namna ilivyotoa upinzani licha ya kikosi cha Super Eagles kusheheni mastaa wanaocheza soka la kulipwa Ulaya. Pamoja na Stars kupoteza kwa mabao 2-1, miongoni mwa wachezaji waliokuwa gumzo huko Nigeria ni pamoja na…

Read More

Nchi za kijeshi Afrika zazindua televisheni, Kapteni Traole anukia kuongoza AES

Muungano wa Nchi za Sahel (AES) unaendelea kuchukua hatua mpya kuelekea kujitegemea kikanda, huku viongozi wa kijeshi wa Mali, Niger na Burkina Faso wakifanya mazungumzo mjini Bamako huku wakizindua televisheni yao ili kuwawezesha kukanusha upotoshaji. Awamu ya pili ya mkutano wa kilele wa AES umelenga kuimarisha ushirikiano ndani ya muungano huo na kupunguza utegemezi kwa…

Read More

Kardinali Pengo kupelekwa India kwa matibabu

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Taddeus Ruwa’ichi, ametangaza kuugua kwa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (81) na kwamba atasafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatano Desemba 24, 2025, na kutiwa saini na Askofu Ruwa’ichi na…

Read More