Kusimama kwa Mv Malagarasi kwachochea ujenzi wa daraja
Dar es Salaam. Serikali ipo katika mpango wa kujenga daraja litakalounganisha vijiji vya Ilagala na Kajeje mkoani Kigoma, kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo kwenye mitandao ya kijamii zikionesha Kivuko cha Mv Malagarasi kimesitisha kutoa huduma kutokana na hitilafu ya kiufundi. Kauli hiyo imetolewa baada ya Mwananchi kumtafuta Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya aelezee…