Mgunda awabana mastaa Namungo | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anatambua ugumu wa kuwaachia wachezaji katikati ya mashindano na kuwabana akiwapa programu maalumu ili waitumie wakiwa mapumziko kusudi wakirudi wawe timamu kimwili. Mapumziko hayo ni maalumu ya kupisha timu za taifa kuwakilisha nchi zao katika fainali za Afcon 2025 zinazotarajiwa kufanyika Morocco kuanzia Desemba 21 hadi Januari 18…

Read More

Rais Samia awasamehe wafungwa 1,036, wengine waachiwa huru

Dar es Salaam. Wakati Tanzania Bara  ikisherehekea miaka 64 ya uhuru wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,036 baadhi akiwapunguzia adhabu na wengine kuachiwa huru. Kati ya wafungwa hao waliopata msamaha huo wa Rais, 22 wameachiwa huru, huku 1,014 wakipunguziwa adhabu zao na watakabaki gerezani kutumikia sehemu ya vifungo vilivyobaki. Idadi ya…

Read More

Kicheko bei ya petroli, dizeli zashuka Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kushuka kwa bei za mafuta huku mafuta ya taa yakisalia kwenye bei yake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari leo Jumanne Desemba 9, 2025 na kuthibitishwa na Meneja wa kitengo cha uhusiano Zura, Mbaraka Hassan Haji, bei hizo zitaanza…

Read More

Kocha Pamba Jiji akiri mambo ni magumu

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amekiri Ligi Kuu Bara msimu huu, presha ni kubwa kwa nafasi iliyopo timu hiyo, huku akitoa mapumziko kwa mastaa hadi Januari 3, mwakani. Pamba Jiji ipo nafasi ya tatu katika msimamo baada ya kucheza mechi tisa ikikusanya pointi 16, ikishinda nne, kutoka sare nne na kupoteza mara moja….

Read More

Pedro asimulia ya Dube, ampa kazi nzito

MSHAMBULIAJI Prince Dube aliwafaa tena Yanga juzi baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa ugenini wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union, lakini kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves amesimulia namna walivyopambana kumrudisha mchezoni Mzimbabwe huyo. Yanga ilipata ushindi huo usiku kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa bao la dakika ya 88 kupitia…

Read More

WADAU WATAKIWA KUZITUMIA KWA USAHIHI TAARIFA ZA HALI YA HEWA

Afisa Mwandamizi ICPAC ambaye ni Mtaalamu anayesimamia nchi kumi na moja Afrika anayeangalia matumizi ya taarifa za hali ya hewa Collision Lore akizungumza katika warsha ya siku tano iliyoandaliwa na kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa na Maombi cha IGAD (ICPAC) inayofanyika katika Kaunti ya Nakuru,Mji wa Naivasha Mkoani Kenya, ……………… NA MUSSA KHALID NAIVASHA,KENYA…

Read More