Kusimama kwa Mv Malagarasi kwachochea ujenzi wa daraja

Dar es Salaam. Serikali ipo katika mpango wa kujenga daraja litakalounganisha vijiji vya Ilagala na Kajeje mkoani Kigoma, kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo kwenye mitandao ya kijamii zikionesha Kivuko cha Mv Malagarasi kimesitisha kutoa huduma kutokana na hitilafu ya kiufundi. Kauli hiyo imetolewa baada ya Mwananchi kumtafuta Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya aelezee…

Read More

DKT. KIJAJI ATINGA MIKUMI KUONGOZA WATALII.

……….. Na Sixmund Begashe, Mikumi Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, akiwa ameongozana na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika na Utalii, Bw. Nkoba Mabula amewasili Hifadhi ya Taifa Mikumi, tayari kwa kuongoza watalii wa ndani zaidi ya 100 kutalii katika hifadhi hiyo yenye vivutio lukuki, kama sehemu ya kusherekea kuuaga mwaka 2025 na…

Read More

Traore, Goita wapiga marufuku Wamarekani kuingia nchi mwao

Serikali za Mali na Burkina Faso zinazoongozwa chini ya utawala wa kijeshi zimeazimia kuwazuia raia wa Marekani kuingia katika nchi zao, ikiwa ni utekelezaji dhidi ya uamuzi kuwazuia raia wao kuingia nchini Marekani. Mtandao wa BBC Swahili umeripoti kuwa mataifa hayo mawili yametangaza hatua hiyo Jumanne usiku Desemba 30, 2025, yakisema hatua hiyo inaanza mara…

Read More