Airtel Tanzania kunogesha msimu wa sikukuu na kampeni ya “Sikukuu Imenyooka na Santa Mizawadi

Dar es Salaam KAMPUNI ya Airtel Tanzania inaendelea kuwafikia na kuwasogezea wateja wake kampeni ya sikukuu ya “Sikukuu Imenyooka na Airtel Santa Mizawadi”, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuwazawadia wateja na kuhimiza matumizi ya huduma za kidijitali, hususan Airtel Money, katika kipindi hiki cha sikukuu. Kupitia kampeni hii, Airtel imefanikiwa kuwafikia wateja katika…

Read More

Meridiansport Yagusa Mioyo Ya Watoto Yatima Kituo Cha Faraja Orphanage Centre

IKIWA ni sehemu ya dhamira yake ya kuchangia maendeleo ya jamii, kampuni ya Meridiansport imeonesha moyo wa huruma kwa kukitembelea kituo cha watoto yatima cha Faraja Care Orphanage Centre kilichopo Mburahati na kugawa vifaa pamoja na mahitaji mbalimbali kwa watoto wanaopatikana kituoni hapo. Katika tukio hilo, Meridiansport ilitoa mahitaji muhimu ya shule kama mabegi, madaftari,…

Read More

BODABODA SHINYANGA WATOA TAMKO KUELEKEA SIKUKUU YA KRISMAS

Na William Bundala-Shinyanga Chama cha Madereva na Wamiliki wa Pikipiki za Biashara Mkoa wa Shinyanga (CHAMWAPITA) kimetoa tamko la kupinga na kukemea kauli za uchochezi zinazotolewa na wanaharakati wa mtandaoni zinazohamasisha vurugu nchini na kuwataka wanachama wa chama hicho kutotumika kuvuruga amani. Tamko hilo limetolewa leo na Mwenyekiti wa chama hicho Idsam Mapande wakati akizungumza…

Read More

RUVUMA YAIMARISHA LISHE NA UCHUMI KUPITIA ZAO LA SOYA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameagiza zao la soya litumike kikamilifu katika mpango wa chakula mashuleni kama njia ya kupunguza udumavu na kuboresha afya ya watoto. Akizungumza katika kikao kazi cha mkakati wa kuendeleza zao la soya, RC Ahmed Abbas Ahmed amesema matumizi ya vyakula na maziwa ya soya katika…

Read More

Mradi wa maji kunufaisha wananchi 10,000 Bonde la Usangu

Zaidi ya wananchi 10,000 kutoka vijiji 45 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya, wameanza kunufaika na Mradi wa Kuimarisha Mbinu za Asili za Kijamii za Usimamizi wa Mazingira na Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi (NBS–USANGU), unaolenga kulinda na kuimarisha vyanzo vya maji katika Bonde la Usangu. Mradi huo pia unahusisha uchimbaji wa visima…

Read More

Bulaya awashika mkono wananchi, magereza Bunda

Dar es Salaam. Mbunge wa Bunda Mjini (CCM), Ester Bulaya amesema kuwawezesha na kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo, wakiwemo wanaoishi katika mazingira magumu ni miongoni mwa vipaumbele vyake vikuu. Kwa kuanzia Bulaya ametoa msaada wa vyakula kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwenye kituo cha Kuzungu, Magereza ya Wilaya ya Bunda, na kutunisha mfuko wa…

Read More