Kizimbani akituhumiwa kumbaka ‘x’ wake, kupiga chabo watu wakiwa faragha

Uingereza. Aliyekuwa diwani wa Swindon nchini Uingereza, Philip Young amefikishwa mahakamani akituhumiwa kutenda makosa mbalimbali ya kingono dhidi ya aliyekuwa mke wake wa zamani kwa kipindi cha miaka 13, na kosa makosa mengine ikiwamo la kuwachunguliwa watu wakiwa faragha. Young anakabiliwa na mashtaka 56, yakiwemo makosa kadhaa ya ubakaji na kumpa kitu kinachodhaniwa kuwa dawa…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa mauaji aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia huru, Juma Suleiman Juma, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la mauaji ya mtuhumiwa wa kosa la wizi, Abdalla Haji Hamdu baada ya Mahakama kujiridhisha hana kesi ya kujibu. Ilidaiwa mahakamani hapo Septemba 30,2024 katika eneo la Masingini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Juma na wenzake saba (siyo washtakiwa katika kesi hiyo),…

Read More

Busara na nasaha za Fyatu kwa mafyatu

Katika kufunga mwaka, nalete somo la kifyatu si kwa mafyatu tu hata kwa wafyatuao mafyatu wasiofyatuka wakafyatua wawafyatuao. Hili ni somo rahisi lakini gumu lihitajilo ufyatu wa kiwango cha juu. Tuanze kujihoji na kuwahoji wengine. Nani aweza kuleta amani au haki kupitia dhuluma? Amani haiwezi kukaa sehemu moja na shari wala mwanga na kiza. Adhaniaye…

Read More

Tume Huru, Katiba vyasubiriwa wakati wa maridhiano

Tume huru ya uchaguzi, katiba mpya na uhaba wa rasilimali fedha ni miongoni mwa mambo yaliyotajwa na baadhi ya vyama vya siasa kama funzo mojawapo walilopata katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti kuhusiana na hilo, baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi mkuu wa mwaka…

Read More

Video za kesi ya Lissu zilizokataliwa zamwamsha DPP

Dar es Salaam. Unamkumbuka shahidi muhimu katika kesi ya uhaini kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye video alizotaka kuzitoa kama kielelezo zilikataliwa na mahakama? Kufuatia tukio hillo, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu amefanya jambo la kisheria ambalo litaruhusu ushahidi atakaoutoa shahidi huyo…

Read More