Kulandana atabiriwa kuibeba Mbeya City

SIKU chache baada ya kuripotiwa kutua Mbeya City kuelekea usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Januari Mosi 2026, kiungo Abdallah Yasin Kulandana ametabiriwa kufanya vizuri akiwa na kikosi hicho katika mechi zilizosalia msimu huu 2025-2026. Hayo yamesemwa na mchezaji wa zamani wa Mbeya City, Abasirim Chidiebere aliyeonyesha kuwa na imani na uwezo wa mchezaji huyo kutokana…

Read More

Cleensheet zampa jeuri kipa Mtibwa

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa kwenye mapumziko kupisha Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazofanyika Morocco, makipa Erick Johora wa Mashujaa, Omary Gonzo (JKT Tanzania) na Costantine Malimi (Mtibwa Sugar) wanaongoza kwa cleansheet nyingi msimu huu. Johora ndiye kinara akiwa na cleansheet sita katika mechi tisa ambazo Mashujaa imecheza, kwa upande wa Gonzo,…

Read More

Baresi aanza kazi kimyakimya KMC

KOCHA Abdallah Mohammed ‘Baresi’ ni kama ameanza kazi kimyakimya KMC kwani hivi sasa kuna jambo analifanya chini kwa chini na akikamilisha tu, basi atatangazwa rasmi. Taarifa zinabainisha KMC ilimalizana na Baresi na kinachofanyika sasa ni kocha huyo ameanza kazi ya kuliunda upya benchi la ufundi kabla ya kutangazwa. Mmoja wa viogozi wa KMC, aliliambia Mwanaspoti,…

Read More

Ibenge analitaka Kombe la Mapinduzi

AZAM inalitaka Kombe la Mapinduzi na kuhakikisha hilo linatimia, mastaa wa timu hiyo ambao wameanza mazoezi juzi wamefichua jambo. Kikosi hicho chenye rekodi ya kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi mara nyingi zaidi (tano), juzi kilirudi mazoezini kuanza kujiandaa na michuano hiyo itakayoanza Desemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Unaambiwa…

Read More