TDB YAWAKUTANISHA WADAU KUHUSU MAZIWA

:::::::::: Dar es Salaam Bodi ya Maziwa Tanzania imewakutanisha wadau wa tasnia ya maziwa katika kikao kazi cha mwaka kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa sekta hiyo. Akizungumza katika kikao hicho, Msajili wa bodi hiyo, George Msalya, aliwataka wafanyabiashara wa maziwa kujisajili rasmi kabla ya kuendelea na shughuli zao….

Read More

WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI

Waziri Akwilapo Ataka Kukamilisha malipo ifikapo Desemba 31, 2025 Aagiza Vituo vya Makusanyo ya Kodi kutoa huduma bora Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo ameelekeza wadaiwa wote wa Kodi ya Pango la Ardhi nchini wawe wamekamilisha malipo ya madeni yao kufikia Desemba 31, 2025. Akizungumza na Watumishi wa Halmashauri…

Read More

TANZANIA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI DAWA BARANI AFRIKA

Na WAF – Dar es Salaam. Serikali imejiwekea malengo makuu ya kitaifa katika kukuza ujenzi wa viwanda vya dawa na kuifanya Tanzania kuwa kinara wa uzalishaji na usambazaji bidhaa za afya barani Afrika. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Desemba 23, 2025 katika kikao cha wazalishaji wa dawa na bidhaa za…

Read More

NANAUKA AWATAKA VIONGOZI WASHUKE CHINI, WAFIKIE VIJANA KWA FURSA ZA SERIKALI

 :::::::::: Waziri wa Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, amewataka viongozi wa Mikoa, Wilaya, Halmashauri na Kata kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake kushuka chini kuwafuata vijana ili kuwaeleza fursa mbalimbali za kimaendeleo zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwainua kiuchumi. Akizungumza na vijana wa Jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Waziri Nanauka alisema…

Read More