TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI DAWA AFRIKA

SERIKALI imetangaza rasmi mwelekeo mpya wa kimkakati wa kuharakisha uwekezaji wa viwanda vya bidhaa za afya nchini, ikiwa ni hatua ya kuimarisha usalama wa afya wa Taifa, kupunguza utegemezi wa dawa kutoka nje na kuliweka Taifa kwenye ramani ya uzalishaji wa dawa barani Afrika na duniani. Mwelekeo huo umetangazwa leo Desemba 23, 2025 jijini Dar…

Read More

Dakika mbili zaitibulia Stars dhidi ya Nigeria, AFCON 2025

Ni dakika mbili tu zilizoyeyusha uwezekano wa Taifa Stars kuishtua Afrika kwa kutoka sare na Nigeria katika mchezo wa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliochezwa kwenye Uwanja wa FES, Morocco leo. Stars ilishindwa kulinda bao la kusawazisha ililopata kwenye mchezo huo kupitia Charles M’Mombwa katika dakika ya 50 na kuiruhusu Nigeria kuongeza bao…

Read More

Kipimo Bora cha Kiuchumi Kinahusu Matumizi Bora Zaidi, Sio Tu Data Zaidi – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Alex Robbins Source IMF Maoni na Gita Bhatt (washington dc) Jumanne, Desemba 23, 2025 Inter Press Service Tunaishi katika kundi la data. Kuanzia satelaiti na saa mahiri hadi mitandao ya kijamii na kutelezesha kidole kwenye rejista, tuna njia za kupima uchumi kwa kiwango ambacho kingeonekana kama hadithi za kisayansi kizazi kimoja tu kilichopita. Vyanzo…

Read More

WAZIRI KOMBO AWASILISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA OMAN

::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Sultan Haitham bin Tariq Al Said wa Oman. Akiwasilisha ujumbe wamejadili kuhusu masuala ya ushirikiano baina ya Tanzania na Oman

Read More

EWURA, TRA KUIMARISHA USHIRIKIANO

  Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana na kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa utendaji hususani katika usimamizi wa masuala ya kikodi yanayotokana na huduma zinazodhibitiwa na EWURA. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Bwana Gerald Maganga,…

Read More

Je, Hukumu ya Maisha ya Nnamdi Kanu itamaliza Msukosuko wa Ghasia kwa Biafra? – Masuala ya Ulimwenguni

Barabara huko Awomamma, Kusini-mashariki mwa Nigeria. Wachambuzi wanaamini kwamba hata bila kiongozi anayetaka kujitenga Nnamdi Kanu kutengwa na kukosekana kwa usawa kunaweza kusababisha mtu mwingine kama huyo kujitokeza kuunga mkono ajenda yake. Credit: Promise Eze/IPS by Ahadi Eze (Abuja) Jumanne, Desemba 23, 2025 Inter Press Service ABUJA, Desemba 23 (IPS) – Tarehe 20 Novemba 2025,…

Read More

Moshi yafurika, abiria wahaha kupata usafiri

Moshi. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kuingia Sikukuu ya Krismasi, hali ya usafiri katika mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, imekuwa changamoto kubwa kutokana na ongezeko la wageni na wakazi wanaosafiri kuelekea vijijini kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Changamoto hii imeathiri zaidi abiria wanaosafiri kutoka Moshi Mjini kuelekea Rombo, Machame, Kibosho na Marangu, ambapo…

Read More

NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.

 Na Mwandishi Wetu, Rombo. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo _Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 2025,  Rombo Mkoani Kilimanjaro na kuvutia wageni kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.  Ushiriki wa Ngorongoro Rombo Marathon ambayo pia watumishi wa Mamlaka hiyo wameshiriki mbio za umbali tofauti inadhihirisha jitihada…

Read More