Serikali kufunda vijana kuhusu Muungano
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni, amesema Muungano wa Tanzania unaendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali, akionya iwapo vijana hawatapewa elimu sahihi kuhusu misingi ya Muungano huo, upo hatarini kuvunjika. Hata hivyo, Balozi Christopher Liundi amesema mazungumzo ya wazi na ya mara kwa mara ni njia…