UNCDF, wadau wajadili mbinu ushirikishwaji wa jamii kuharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu WADAU  kutoka sekta mbalimbali za umma na binafsi wamekubaliana juu ya mbinu ya ushirikishwaji wa jamii ili kuharakisha matumizi ya teknolojia za nishati safi ya kupikia nchini Tanzania wakati wa warsha ya kitaifa ya majadiliano iliyofanyika Dodoma. Warsha hiyo iliwaleta pamoja wawakilishi kutoka taasisi za serikali, taasisi za kifedha, watoa huduma za…

Read More

Sh485 milioni zanufaisha vikundi 15

Mbeya. Mbunge wa Mbeya Vijijini, Patali Shida amekabidhi mkopo wa Sh485 milioni uliotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa vikundi 15 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Hatua hiyo imetajwa kuwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali kuwezesha makundi hayo kwa lengo la kuanzisha miradi endelevu ya kujikwamua kiuchumi. Shida amekabidhi mkopo huo…

Read More

Russia kuisaidia Tanzania kujitegemea kiuchumi, kujenga satelaiti

Dar es Salaam. Russia imeeleza dhamira yake ya kuisaidia Tanzania kujitegemea kiuchumi na kuboresha miundombinu ya mawasiliano ikliwemo matumizi ya teknolojia ya satelaiti pale itakapohitajika. Hayo yameelezwa leo, Desemba 23, 2025, na Balozi wa Russia nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, wakati akitoa tathmini ya ushirikiano kati ya nchi yake na Tanzania katika mwaka 2025, pamoja na…

Read More

WANAFUNZI 134 WA SHAHADA ,ASTASHAHADA NA SHAHADA YA UZAMILI WAJIUNGA NA VETA KWA MWAKA WA MASOMO 2026 8,000.00mm

………….. Na Ester Maile Dodoma  Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya ufundi stadi (veta) imechagua wanafunzi 134 wenye elimu ya Astashahada, shahada na shahada ya uzamili ,ambapo 123 wamechaguliwa na 11 wanasubiria kupangiwa . Hayo yamebainishwa leo Desemba 23 2025, na Mkurugenzi mkuu wa Veta CPA Anthony Kasore wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu…

Read More

Wahariri wapewa elimu kuhusu Muungano

Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamadi Yussuf Masauni amesema Waandishi wa Habari wana wajibu mkubwa katika kusimamia uwepo wa taarifa zinazojenga Muungano na kuondoa upotoshaji unaoweza kusababisha mgawanyiko. Mhe. Masauni amesema vyombo vya habari vina umuhimu wa kuhakikisha taarifa zinazochapishwa ni sahihi, zenye vyanzo vya…

Read More

Waombaji 14,433 wachaguliwa Veta 2026

Dodoma. Waombaji 14,433, miongoni mwao 134 wa elimu ya juu, wamechaguliwa kujiunga na mafunzo katika vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta). Waliochaguliwa ni kati ya waombaji 18,875 waliowasilisha maombi wakitaka kujiunga na mafunzo hayo kwa mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Anthony Kasore, ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Desemba 23, 2025, alipozungumza…

Read More