Ripoti BoT yaeleza uagizaji mafuta unavyoshuka nchini

Dar es Salaam. Unaweza kueleza kuwa, jitihada za kuhamia matumizi ya nishati safi ya kupikia zimeanza kuzaa matunda baada ya Tanzania kushuhudia kupungua kwa fedha zinazotumika kuagiza mafuta nje ya nchi. Ripoti ya tathmini ya hali ya uchumi ya kila mwezi iliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Novemba 2025, inaonyesha fedha zilizotumika kuagiza mafuta…

Read More

Ajira kwa watoto yashamiri mnadani Maswa

Maswa. Licha ya Serikali kupiga marufuku ajira kwa watoto wadogo na kuweka sheria kali za kulinda haki zao, vitendo vya kuwatumikisha bado vinaendelea kwa kasi katika mnada mjini Maswa, mkoani Simiyu, hali inayozua maswali kuhusu utekelezaji wa sheria na uwajibikaji wake. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi kwa siku kadhaa umebaini watoto wenye umri wa kati ya…

Read More

Madereva wamulikwa kuelekea mwishoni mwa mwaka

Arusha. Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, madereva wakiwamo wa mabasi ya abiria, wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani ili kuepuka ajali na kuokoa maisha. Mbali ya hayo, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, limeendelea kutoa elimu kwa madereva hao na kufanya ukaguzi, lengo likiwa kuhakikisha usalama barabarani unakuwepo wakati wote. Hayo yamesemwa usiku wa…

Read More

Gamondi: Hali ya hewa changamoto

Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amekiri hali ya hewa ya baridi nchini Morocco ni changamoto kwa baadhi ya wachezaji wa kikosi hicho. Gamondi aliyasema hayo wakati akikiandaa kikosi hicho kukabiliana na Nigeria katika mechi ya kwanza Kundi C kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mbali na Nigeria, katika…

Read More