Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi
Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi – Global Publishers Home Michezo Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi
Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi – Global Publishers Home Michezo Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi
Serikali Yapongeza Uzalishaji wa Magari ya Umeme ya Ndani – Global Publishers Home Habari Serikali Yapongeza Uzalishaji wa Magari ya Umeme ya Ndani
Grand P Arudiana na Eudoxie, Waanika Tena Penzi Lao Mitandaoni – Global Publishers Home Burudani Grand P Arudiana na Eudoxie, Waanika Tena Penzi Lao Mitandaoni
Dar es Salaam. Mwanadiplomasia Mwandamizi, Omar Mjenga, amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa chimbuko la hoja na mijadala mipana kuhusu umuhimu wa kulinda amani na masilahi ya Taifa, hasa ya jamii inapotofautiana kimtazamo. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumanne, Desemba 23, 2025, wakati akiwasilisha nasaha na uzoefu wa wazee, katika semina ya wahariri…
KIUNGO wa timu ya taifa ya Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ana imani kikosi hicho kitafikia malengo katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco. Fei Toto anaamini Taifa Stars itaendeleza kiwango chake katika michuano hiyo kama ilivyokuwa kwenye Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN…
Mwaka Mpya wa 2026 unasubiriwa kwa shauku kubwa wakati huu wa 2025 ukiwa ukingoni ukiacha mambo mengi nyuma. Kwenye burudani, mengi mazuri kwa maana ya kufurahisha yalitokea, pia ya kuhuzunisha na kubaki katika kumbukumbu za baadhi ya mastaa. Hawa hapa mastaa ambao mwaka huu uliobakiza siku nane kumalizika umewaacha kwenye furaha na huzuni katika uhusiano…
Dar es Salaam. Kanisa la Anglikana Tanzania linaomboleza kifo cha Kasisi Edward Komba, aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Theolojia cha Mtakatifu Marko (St. Marks) Dar es Salaam. Komba ambaye ni Canon wa Dayosisi ya Tanga, aliyefariki dunia kwa ajali ya gari jana Desemba 22, 2025 katika eneo la Mbezi, jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa…
Dar es Salaam. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA), Dk Abdallah Mkumbukwa, amesema Muungano wa Tanzania una upekee wa kipekee duniani kwa kuwa uliunganisha mataifa mawili yaliyokuwa huru,Tanzania Bara na Zanzibar umeendelea kudumu kwa zaidi ya miaka 60. Akizungumza leo Jumanne Desemba 23, 2025, jijini Dar es Salaam wakati wa wasilisho kuhusu upekee wa…
Watoto katika mji wa Didiévi, Ivory Coast, wakipanga foleni kuosha mikono yao kabla ya kupokea chakula Mikopo: Scaling Up Nutrition Movement Maoni na Afshan Khan (geneva) Jumanne, Desemba 23, 2025 Inter Press Service GENEVA, Desemba 23 (IPS) – Katika zaidi ya miaka 30 yangu na Umoja wa Mataifa, nimeona mabadiliko makubwa, ushirikiano na maendeleo katika…
Unguja. Matukio ya udhalilishaji yameongezeka kwa asilimia 8.1 kufikia 107 kutoka 99 yaliyoripotiwa Oktoba, sababu ya ongezeko ikitajwa kuwa uhuru uliopitiliza wa wazazi kwa watoto wao. Inaelezwa uhuru huo umesababisha watoto kufanya jambo lolote watakalo bila ya hofu, wala kujali athari za vitendo wanavyovifanya. Akitoa taarifa leo Jumanne Desemba 23, 2025 Ofisa wa Divisheni ya…