Chuo Kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga kupokea wanafunzi 2026

Mkinga. Kampasi ya Chuo Kikuu Mzumbe Tanga iliyopo Kijiji cha Gombero, wilayani Mkinga inatarajiwa kuanza kupokea wanafunzi Septemba na Oktoba, 2026. Hatua hiyo ni baada ya kukamilika kwa ujenzi wa majengo na miundombinu mingine. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa William Mwegoha, amesema hayo jana Desemba 30, 2025 alipotoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya…

Read More

Rais Mwinyi aunda tume kutathmini fidia miradi maendeleo

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameunda tume ya kupitia na kutathmini masuala ya fidia yanayotokana na utekelezaji wa miradi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Unguja na Pemba. Hatua hiyo inakuja kufuatia kuibuka kwa malalamiko ya wananchi katika maeneo yanakotekelezwa miradi hiyo ya maendeleo, wakidai kulipwa fedha ndogo isiyoendana na thamani ya…

Read More

Matumizi nishati safi ya kupikia yafungua fursa mpya za ajira

Mkuranga. Imebainika kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaendelea kufungua fursa mbalimbali za ajira kwa Watanzania, hususan katika uzalishaji wa mkaa mbadala na utengenezaji wa mashine zinazotumika kuzalisha mkaa huo. Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Nolasco Mlay ametoa kauli hiyo leo Jumatano Desemba 31 wakati wa ziara yake ya…

Read More

Malori yazua usumbufu Barabara ya Mandela

Dar es Salaam. Foleni ya magari iliibuka Barabara ya Mandela, jijini Dar es Salaam, kuanzia saa 12:00 asubuhi ya Desemba 31, 2025 na kusababisha usumbufu kwa wasafiri na watumiaji wengine wa barabara hiyo. Kutokana na foleni hiyo, magari yalisogea kwa mwendo wa kusuasua, baadhi yakisimama kwa muda mrefu bila kusogea. Chanzo cha foleni hiyo kimeelezwa…

Read More

Chadema kuja na mbinu mpya 2026

Dar es Salaam. Baada ya kukabiliana na changamoto mbalimbali mwaka 2025, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitauanza mwaka 2026 kwa mbinu mpya za kisiasa zenye lengo la kujiimarisha na kushughulikia changamoto zilizojitokeza. Kwa mujibu wa chama hicho, mwaka 2026 kitasimamia siasa za kipekee zitakazojikita kwenye mchakamchaka, zikilenga kuhamasisha wananchi na zitakazosaidia wananchi kupata…

Read More

FYATU MFYATUZI: Sisi Mafyatu tunataka usuluhishi, si usulubishi

Kwanza, nitoe salamu zangu, za Bi Mkubwa, na watoi tunapofunga na kuanza mwaka. Kipekee, nichukue fursa hii kuwakumbuka na kuwaombea ambao hawakuumaliza wala hawatauona mwaka mpya waliokufa ima kwa vifo vya kawaida au vya kufyatuliwa, waliotekwa, na kupotezwa hata waliowafanyia kitu mbaya nikiwataka waache na kumaliza na kuanza mwaka kwa nia safi kabisa. Tumalize mwaka…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Ujinga mara zote ni adui wa maendeleo

Awali ya yote niwatakie watanzania wote heri na baraka za sikukuu za Krismas na Mwaka Mpya. Tuzisherehekee kwa amani na utulivu, tukielewa kuwa kujitoa akili kwa namna yoyote kunaweza kutuongoza kwenye maangamizi. Tutumie wakati huu kuwakumbuka waasisi wa uhuru na uzalendo wa mwafrika, mashujaa ambao majina yao hayatasahaulika kwa wakati wote. Nawakumbuka wapigania haki waliowahi…

Read More