TPDC NA PURA HAKIKISHENI WATANZANIA WANANUFAIKA NA RASILIMALI ZA MAFUTA NA GESI
::::::: Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya ziara katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa lengo la kuzungumza na Watendaji taasisi hizo mara baada ya kuteuliwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kushika nyadhifa hiyo ambapo amewataka watendaji kuhakikisha…