Dosari zamweka huru aliyedaiwa kusafirisha kilo 172.3 za bangi
Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masjala Ndogo ya Musoma, imemwachia huru Miriam Usire, aliyeshtakiwa kwa kosa la kusafirisha kilo 172.3 za bangi. Hukumu imetolewa na Jaji Monica Otaru, aliyesema ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka umeshindwa kuhalalisha hatia dhidi ya mshtakiwa kwani unaacha shaka. Jamhuri ilidai Oktoba 2, 2023, katika Kijiji…