Fanya haya kuutua mzigo wa ada shuleni

Elimu ni haki ya msingi ya kila mtoto, lakini pia ni jukumu linalohitaji maandalizi ya kifedha. Kwa bahati mbaya, wazazi wengi hukumbwa na changamoto kubwa hasa mwisho wa mwaka, kipindi ambacho mahitaji ya kifedha huwa mengi: ada za shule, sherehe za mwisho wa mwaka, sikukuu, safari, pamoja na mahitaji mengine ya kifamilia. Hali hii husababisha…

Read More

Ulimwengu mnamo 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Farhana Haque Rahman (Toronto, Kanada) Jumatatu, Desemba 22, 2025 Inter Press Service TORONTO, Kanada, Desemba 22 (IPS) – “Mwingi wa mwaka” wetu wa kitamaduni kwa kawaida huanza na orodha mbaya ya majanga na migogoro ya dunia katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, inaangazia washirika na wachangiaji wa IPS na kuhitimishwa na tamati yenye…

Read More

TRA United yamng’ang’ania Denis Nkane

MABOSI wa TRA United bado hawajakata tamaa juu ya kumnasa winga Denis Nkane anayeitumikia Yanga, baada ya sasa kuwasilisha maombi rasmi ya kutaka iwepe mchezahi huyo. TRA inayojiandaa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 kwa mara ya kwanza itakayoanza Desemba 28 visiwani Zanzibar, ilisema imewasilisha ombi kwa Yanga ili wazungumze juu ya kumpata Nkane…

Read More

Rushine akiri kutimka kwa Fadlu kumemtikisa

BEKI wa kimataifa wa Afrika Kusini, Rushine De Reuck, amekiri kuondoka kwa kocha Fadlu Davids ndani ya Simba kumempa wakati mgumu yeye na Neo Maema aliyowavuta Msimbazi. Rushine amesema imekuwa ngumu kwake pamoja naMaema kufuatia kuondoka kwa Fadlu aliyewasilia msimu huu kabla ya kurejea Raja Casablanca. De Reuck na Maema walijiunga na Simba mwanzoni mwa…

Read More

Taifa Stars inavyosaka rekodi kibao kwa Nigeria AFCON 2025

TANGU yalipotangazwa makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 iliyoanza juzi huko Morocco, mashabiki na wapenzi wa soka nchini wamekuwa na kihoro kwa timu ya taifa, Taifa Stars wakiamini imepangwa kundi la kifo. Uwepo wa Nigeria, Tunisia na Uganda, kumewafanya mashabiki kuwa na presha mapema, lakini unaambiwa sasa, Kocha Miguel Gamondi…

Read More

Video ya Mwisho wa Mwaka 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

na Chanzo cha Nje Jumatatu, Desemba 22, 2025 Inter Press Service Matukio mengi yaliyofafanuliwa 2025: migogoro, uharibifu wa hali ya hewa na demokrasia inayopungua. Taasisi za kimataifa zilijaribiwa kuliko hapo awali. Katika COP30 huko Belém, Brazili, serikali zilibishana kuhusu maneno wakati sayari ikiwa na joto. Hata hivyo katikati ya shinikizo, nchi zilikubaliana juu ya hatua…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUWEKEZA MAKUNDI MAALUM

:::::: Serikali imesema itaendelea kuwekeza katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo na kutoa fursa za kiuchumi na kijamii kwa makundi maalum, yakiwemo wanawake, vijana, watoto, wazee na wafanyabiashara ndogondogo, ili kujenga Taifa jumuishi lenye ustawi na haki. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, wakati…

Read More